nakuja pm basisitaki kufuatwa
Bonny alinipa mbinu ya kumpata, sasa hivi nimeshampata mambo ni hivi[emoji91][emoji91][emoji91](kwa sauti ya Mange Kimambi)Umeambiwa anapatikana wapi!
Namshauri huyo anayesambaza picha zako aache utoto.
Najua hiki kitendo cha picha zako kusambazwa kumekuumiza sana.
Pole sana my dear shunie.
Bwana pepsiii
Pole mama... Ndohivo wengine ustarabu kwao ni msamiati
Hapana unanihukumu tofauti,.. Ulishawahi kuniona kuja kuanzisha mada inayohusiana na pm hapa?
Em njoo hautajuta kunifaham au nije mimi?..
Mm nasubiri kuona machuchu tena