Sema mpaka mwanaume kuanika picha inategemea hata baada ya kushindwa kuelewana kwenye tongozo lenu bado ulimuacha kwa dharau ndo maana kukukomesha anakuweka wazi watu waone yule mwenye nyido alivyo liveWakisonya wanaanza kutuanika picha zetu sasa!
Huyo ni anko wako wa faida auntie, your forever uncle.Auntie mm nampendaga huyo ndio anko au
Ongera kwa kulitoa la moyon honey
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibaya zaidi, ushavuta hisia zako sauti na sura take unamfananisha na MTU wa mbele huko
Unajipodoooa mwenyewe ili ufanane na yule dem muigizaji wa kibrazil,kufika tu unakata tamaa kama vile kitunguumaji kikiwa juani
Umeanza lini??Mkuu muhudumu asinisahau na mm
Ni upuuzi wa hali ya juu!basi tu hawajuiSema mpaka mwanaume kuanika picha inategemea hata baada ya kushindwa kuelewana kwenye tongozo lenu bado ulimuacha kwa dharau ndo maana kukukomesha anakuweka wazi watu waone yule mwenye nyido alivyo live
Hapa nilipo yuko wa kuokwa aisee ni balaaaaa karibu saanaUtanitoa roho. Umetaja mbuzi katoliki nikaitamani ghafla
Huyo ni anko wako wa faida auntie, your forever uncle.
Naimani kifua kimepoa sasa.Jiachie kwa raha zakoAsante babe tena hili ni la mda toka mwaka jana sijui nilikuwa sina pakutolea
Kuanza lini nn tena si vinywaji naagizaUmeanza lini??
Madam miss you more[emoji8] [emoji8] [emoji8]Switie me luv uuu !!!!!miss uuu
Nakupenda mkweNakupenda mziguaa...my mkwee akili nyingiiii!!mpk zinamwagikaa
Naimani kifua kimepoa sasa.Jiachie kwa raha zako
Dooh jamaniHapana ameamua tu