Shuniii![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji17] [emoji23] huyo kaka huko alikoo
Mtafutie kwanza hata kama hazijaiva ila kule ni shinani!
Ngoja aweke picha yako umekaa kwenye majani vidole viwili juu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
Nimesoma comment moja moja bila shaka mlengwa mkuu yupo [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] .
Nilitegemea ningeona comment yake kumbe kajua kujikausha kizazi[emoji28] [emoji28] [emoji28] .
Wewe mwanaume unakuwa smart kumbe booooonge la snitch.[emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107]
Ndio ndio recommendations kwa jj zilifanywa na kubwa la maadui Shunie na mkali wao Demiss kazi ikawa rahisi sanayaani tunawaweka kwenye list mkiwa loose loose tunawarecommend sehemu tunawakamata jolie jolie akilegeza kamba tu unawekwa sehemu we si unaona full package mlivyowachache humu
Ukiwa na full package unakamatia hasa raha sana amani ya moyo na utulivu wa nafsi,upendo ni kitu cha thamani na kikubwa sanaWa kwangu nae full package!!!![emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hana vurugu za ajabu ajabu
Nakazia hapa.Nakazia wakunyumba bora upate mtu jukwaani mbea muelewane kuliko anayejifanya anaheshima yaani we kaka sijakudhania kabisa hivi ulikuwa unaiba picha zangu kwa dp unazisave mm ni mkeo haya unaowaonyesha huyu ndio shunie wanarudi wananiambia mfyuuuu jitu kubwa kama mtoto
Ndo maana sijakusikua
Amejuta hata kuna kitu nimekumbuka[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2]