we unaelewa mtongozoMe nikikutext tuu ujue hapo nishatenga kiasi cha fedha cha kutosha kugharamia hata show tatu mfululizo
watakuja usijali me sielewi kila siku watu wanatafuta wachumba lakini sioni mkiwatongozaSasa pm nitazitoaje... mfano kwenye uzi siunaona wamegoma kuja ningeanza kupractice hiyo njia yako hapa hapa...
Waite basi
Kwa hali navyoiona nitapata mke kupitia hapa jukwaani maana si kwa mvuto huu wa dada zetuMashaallah...
Afe kipa afe beki
Hahaha Hahaha sina maneno mmSio vizuri samua sema neno nasi tutaona
Tunaenda pm nyingi mmezifunga zingine hazijibiwi zingine zikijibiwa ndiyo kama nilivyoambiwa.watakuja usijali me sielewi kila siku watu wanatafuta wachumba lakini sioni mkiwatongoza
Kutokea niliposimama nauelewa vizuri sanawe unaelewa mtongozo
basi usijali utapata tuTunaenda pm nyingi mmezifunga zingine hazijibiwi zingine zikijibiwa ndiyo kama nilivyoambiwa.
Mwisho tunaweka nyuzi za kuwatafuta maana hamuonekani
safi na hongeraKutokea niliposimama nauelewa vizuri sana
Na Mama Sabrina piahuyu
Dinazarde pia Aje
Asante sana, naomba sasa nijielekeze kwenye mtongozo juu yako Miss chaggasafi na hongera