Wanaume wa "JF" jamani acheni kutusumbua "dada" zenu kwenye "inbox" Mungu anawaona mjue!

richaabra

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
1,472
Reaction score
3,511
[emoji35]
 

Attachments

  • 1477132496699.jpg
    51.2 KB · Views: 68
Bange tu na ww....au ndio unasaka kutongozwa by force
 


Acha kutumia pic za watu huyu Dada ni mshikaj wangu Anaitwa Vania sio yako uumbwe hivyo alafu ujianike kama unataka bwana wanawake kama hao hawajianik wanatafuta boya wew.....
 
Wameshakufuata kama wangapi inbox mpaka sasa
 
Hali ilivyo mbaya kitaa bado wadau wanazingua inbobo duh
 
Lengo lako limetimia ila ungetuma picha yako halisi.
 
Mwanamke lazima utongozwe
 
Unaposema wanaume wenyewe wa mkoa inadhihirisha kuwa husumbuliwi ila unahisi uhaba kwakuwa wale wa hapo ulipo wote wameonja wakaondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…