Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Walijua ng'ombe wakamvutia sehem expensive, Haa kumbe wanajikaangaKabisaaa! We bili laki mbili na upuuzi hukoo... Si mtaji wa biashara kabisa huo!!!
teh teh teh umemalizaHata ingekua mimi mwanaume ningekukimbia. Ukute hapo wewe mwenyewe hufananii hata kulipiwa bill ya 20k. Saa zingine sio kwamba hana hela ameona kwanini alipie bill hela yote hiyo wakati hana mpango wa kukuona tena.
Hivi kudate mwanamke wa hivi si ujinga kweli? Unaitwa out unachukua furushi la watu mnabebana kama vile kwenu hamna chakula?Ata mimi ningekukimbia!!! Hayo mengine majaribu na uonevu aisee!!! [emoji23][emoji23]
asee nimekupenda bureeeh kabisa sitaki hata thumni yako.Kabisaaa! We bili laki mbili na upuuzi hukoo... Si mtaji wa biashara kabisa huo!!!
Nkome bibi eeeehHata ingekua mimi mwanaume ningekukimbia. Ukute hapo wewe mwenyewe hufananii hata kulipiwa bill ya 20k. Saa zingine sio kwamba hana hela ameona kwanini alipie bill hela yote hiyo wakati hana mpango wa kukuona tena.
Bratan huyu unaweza kumwita guest still akaja na rafiki zake..Bure kabisaHivi kudate mwanamke wa hivi si ujinga kweli? Unaitwa out unachukua furushi la watu mnabebana kama vile kwenu hamna chakula?
Mimi ningemwambia live, nimekuita wewe na sio rafiki zako, hujitambui kwa hiyo siwezi hata kukaa na wewe, goodbye!!
Paprika ndio umekataa kujaribu kwa wakubwa[emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125]