Wanaume wa JF katika tuhuma nzito ya kukimbia bili za bar

tehe tehe tehe
kaz ipo
Me wa jf kumbe mbwembwe nyingi majukwaani lakini mifukoni watupu

Ila na wewe shoga ni mswahili wa kimataifa khaaaaaa ndio nini hivyo kumfanyia mwenzako?
 
Hata ingekua mimi mwanaume ningekukimbia. Ukute hapo wewe mwenyewe hufananii hata kulipiwa bill ya 20k. Saa zingine sio kwamba hana hela ameona kwanini alipie bill hela yote hiyo wakati hana mpango wa kukuona tena.
Hahaa umeua, yani mwanuma ndala ndefu, lipstick imekolezwa kikopo kizima, weaving limeokotwa baada ya kutumiwa na three users, dera hiloo hahaa kiding! Afu mezani anaongea kama chiriku kama hivyo alivyoandika kisha kidume unaunguza fedha zako laki 2.5 kweli,
Cha ajab mwenyewe anaisikia kwenye radio hiyo hela ndio maana laki 2 tu ukalala central.
Ila nimefurahi kama ni kweli next time uswahili utakuwa umekutoka
 
teh teh kwa hyo jamaa akawafanya wote mabashite aseeee
 
tehe tehe tehe
kaz ipo
Me wa jf kumbe mbwembwe nyingi majukwaani lakini mifukoni watupu

Ila na wewe shoga ni mswahili wa kimataifa khaaaaaa ndio nini hivyo kumfanyia mwenzako?
Kwa hiyo aliyetoka mbio hapo anatuwakilisha wote...??

Kwa tuseme humu JF ukimwita mwanamke yeyote WOTE MNA TABIA ZA KUJA DARASA ZIMA?
 
Kwa hiyo aliyetoka mbio hapo anatuwakilisha wote...??

Kwa tuseme humu JF ukimwita mwanamke yeyote WOTE MNA TABIA ZA KUJA DARASA ZIMA?
tehe tehe tehe hapana
Ila nahisi hatarudia tena kutongozatongoza wadada wa jf, kwa mshtuko alioupata
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Hapo kwenye weaving umeua kabisa. Sema anafanania wadada flan wa kiswahili akipata appointment ndo kala la sivyo siku inapita.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Hapo kwenye weaving umeua kabisa. Sema anafanania wadada flan wa kiswahili akipata appointment ndo kala la sivyo siku inapita.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huyo jamaa mjanja sana. Tena nampa big up. Huwezi kunfanya mtu boya kirahisi namna hiyo na usawa huu.
Wewe mwenyewe una 5000 then unamchuna mwenzako pesa yote hiyo.
Safi sanaaaaaaaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
tehe tehe tehe
kaz ipo
Me wa jf kumbe mbwembwe nyingi majukwaani lakini mifukoni watupu

Ila na wewe shoga ni mswahili wa kimataifa khaaaaaa ndio nini hivyo kumfanyia mwenzako?
Hawana hela shogaangu
 
Huyo jamaa mjanja sana. Tena nampa big up. Huwezi kunfanya mtu boya kirahisi namna hiyo na usawa huu.
Wewe mwenyewe una 5000 then unamchuna mwenzako pesa yote hiyo.
Safi sanaaaaaaaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mnapeana sifaa tu
 
Mnatumia nguvu nyingi kumshauri mtoto wa kizaramo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…