Wanaume wa JF katika tuhuma nzito ya kukimbia bili za bar

Mbaya zaidi huenda bili ilikuja kwa lumpsum, hujui nani kala kilo ngapi za mbuzi. Labda kwa vinywaji, kwa sababu demu kasema walikunywa kila mmoja kinywaji tofauti. Naona mashoga ndio walikunywa nyingi, kwa sababu yeye mhusika alikunywa dompo, na mtoto wakike hwezi kwenda dompo zaidi ya tatu.
 
Dawa ya kudhibiti hilo ni kumwambia mhudumu ahakikishe vitu kama hivyo anavogawanya equally!

Mfano kama walitumia nyama 4kg basi kila mmoja katumia 1kg!

Kama mtu kapanga kuja kukuharibia hakuna namna, nawe unamwaribia tu
 
Kitendo cha jamaa kuinuka kufuata hamkuhisi anaweza kusepa mazima?? Mngekuwa wajanja mmoja wenu angemsindikiza.....ila sio vizuri kula salary ya mtu kwa saa chache hivyo dah!!!
 
richaabra yaan wanaume wa humu hawakomi na ww pamoja na kuja kuwaanzishia thread kila siku bado wanakutongoza tu pm [emoji23]

kingine haujafanya sawa kuwabeba mashoga zako ili iweje huo ni uswahili uliopitiliza shost hiyo ilikua n first date
Heheeeeeee haloooooooooo
 
Hapo mimi ningelipa bill yako tu na nyama ,hao friends walipe kwa wallet zao mkuu.
 
Ndo ukome kuwa ña tabia za kifuala namna hiyo, nadhani utakuwa umejifunza, jamaa kaonyesha ujasiri kwa wanawake wenye tabia kama yako, kwan inaonekana ni mtu ambaye huna future ndio maña umekimbiwa mfyuuuuuuu
 
wanawake weote wanaokusanyana kwenda kwa mwanaume ni waswahili afadhali mlikomeshwa
 
kwa hiyo tabia siipendi umeitwa mwenyewe unaenda na kamati kabisa... mimi ningeondoka tu soon baada ya kuweka order kama vipi mcancel order
 
Dawa ya kudhibiti hilo ni kumwambia mhudumu ahakikishe vitu kama hivyo anavogawanya equally!

Mfano kama walitumia nyama 4kg basi kila mmoja katumia 1kg!

Kama mtu kapanga kuja kukuharibia hakuna namna, nawe unamwaribia tu
Naunga mkono hoja
 
Kitendo cha jamaa kuinuka kufuata hamkuhisi anaweza kusepa mazima?? Mngekuwa wajanja mmoja wenu angemsindikiza.....ila sio vizuri kula salary ya mtu kwa saa chache hivyo dah!!!
Amsindikize kwani alikuja naye?
 
Ulijiona mjanja mwenyewe kuagiza hayo madompo na mbuzi kumbe unajikomoa...yan unaitwa peke ako una kuja na mabody guard sita? Dadeqq hata kama ni mim ninge hamorapa
 
Ulijiona mjanja mwenyewe kuagiza hayo madompo na mbuzi kumbe unajikomoa...yan unaitwa peke ako una kuja na mabody guard sita? Dadeqq hata kama ni mim ninge hamorapa
Wewe ulitaka niagize soda sio?
 
Mlikuwa na ham ya kulala kituoni sio bule uitwe wewe alafu wewe ukachukua team ya vigodolo anaagiza vinywaji chupa mbilimbili ila mliwahi tu kuondoka ATM ilikuwa mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…