Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Hawezi Kuja huku. Mimi bora nimtunuku mtu kipochi bora na sio Kuja na swaga sijui namiliki hichi na kile hunipati ng'o jf si pakuwa na mahusiano. Huyo kaka wa chuga kiboko
Hahahhha
Akija najisaidia mafungu mafungu mpaka kwetu Lushoto.
Huwa najiuliza ni wangapi anaowapa uongo kama huu?
Wangapi wameingia kwenye 18 zake na akawalala kwa sytle hii?

Ila yule kaka mzuri sana ila aache kufake life.
 
Acheni kujifariji na uchoko wenu eti I'd maarufu ni wabovu nyie kubalini hamna mbele wala nyuma tu kama namikiki tecno wereva yangu hapa najiamini na ubovu wangu. Hahaha huu uzi umewatoa povu wanaume pole ni pambaneni na Hali yenu
Pambe tu.
Hahahah.....wameshikwa pabaya na mtoa mada leo.
I'd maarufu ndo wabovu.
Hahahajah......wapambane na hali zao kiukweli
 
Hawezi Kuja huku. Mimi bora nimtunuku mtu kipochi bora na sio Kuja na swaga sijui namiliki hichi na kile hunipati ng'o jf si pakuwa na mahusiano. Huyo kaka wa chuga kiboko
We kama mimi tu.
Mie ukija na uongo kama utachunwa jua utachunwa tu hamna namna.
Na kama akitaka K hata bure nampa...ila why ajimilikishe vitu ambavyo hamiliki na wala hana ndoto za kumiliki?

Almost 80% ya wanaume wa humu wanaishi fake life.
 
Hahaaaaa wii msalimie huyu jamaa
 
Eti leo I'd maarufu ni wabovu humu JF
Wanatafuta pa kujitolea stress zao.
Leo ndo wanajua, awali walikuwa wapi kutoa huu ushuhuda.
Wameshikwa pabaya sana na mtoa mada
 
Mie sina hata hamu na wanaume wa humu.
Nimekutana na mkaka akasema anamiliki kampuni...hahahhah
Chinekeeee.

Bora hata mie ninayemiliki makalio.
Yule kaka sijui kaniblock, simuoni kabisa jukwaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakuta anafagia kwenye hiyo kampuni
 
Si bora uombe papuchi Bila uongo watunukiwa mpaka wakinai uongo haufai kabisa mwishowe udaganye una miliki had ikulu Ili iweje
We kama mimi tu.
Mie ukija na uongo kama utachunwa jua utachunwa tu hamna namna.
Na kama akitaka K hata bure nampa...ila why ajimilikishe vitu ambavyo hamiliki na wala hana ndoto za kumiliki?

Almost 80% ya wanaume wa humu wanaishi fake life.
 
Si bora uombe papuchi Bila uongo watunukiwa mpaka wakinai uongo haufai kabisa mwishowe udaganye una miliki had ikulu Ili iweje
Hii inaitwa The Power of Pussy.
Watu wanahangaika ili wapate hio Pussy.
Asa si aseme direct tu kama anataka pussy kuliko kuiba picha ya makampuni ya watu!!
 
Bora sie wabovu tukidanga hatufi na njaa wala kupauka aisee. Wasijilinganishe na sisi
Mwanamke hata akae miaka hana kazi, atakula na kufanya kila kitu.
Wakae wao sasa kama hawataishia kwenye kuolewa....hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…