πππππMwenye uzii huu kakimbilia wapi aisee ana acha watu wana jadili kidume mwengineAna I'd tatu huyo mjamaa.
Kil I'd anajitambulisha anaishi mikoa tofauti.
I'd ya kwanza anasema yeye ni kijana mdogo, yapili na ya tatu ni mtu mzima
Mkichat sana anakuomba pesa
Forex is not for everyone! Huo msemo tumewekewa sisi vichwa maji
We amuoe nani?Ahahaaa mi nilimkataa bna mtu Simjui nimpeleke wapi halafu Mimi ataniweza basi me napenda mwanaume simple.ila last time aliniambia amekuoa eti.kumbe umemkimbia? Sio fair bna.
HahahahaMmh hayaa
Vita ya JF mara nyingi tunatuma ndege zisizo na abiria.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye uzii huu kakimbilia wapi aisee ana acha watu wana jadili kidume mwengine
Mwenye uzi kakaanga mbuyu, katuachia wenye meno tutafuneπππππMwenye uzii huu kakimbilia wapi aisee ana acha watu wana jadili kidume mwengine
Can't wait... Wacha nivute subira tuSijakuchunia mamy mambo tu yamenibana but kuanzia tarehe 25 nitakuwa town. Hope I'll see you around this time.
Mambo sio kidogo shoga huko pm moderator wanaona mengi
π€£π€£π€£Toka Jana wambeya tuna Subiri kwa hamu na shauku kubwa Screenshot DaJane ukuje jamanii tumekuhamu why umeutelekeza uzi.Vita ya JF mara nyingi tunatuma ndege zisizo na abiria.
Una tweet kama Trump.... "Iran must be disciplined"
Halafu unazima data... unatafuta ndege ziszo na abiria au kundi unalikodishia Silaha nendeni Iran.
Ila best huyo mtu mnaye mzungumzia mbona na sisi wengine hatumjui jamanii tuambieni na sisi ππππMwenye uzi kakaanga mbuyu, katuachia wenye meno tutafune
Mkuu wewe ni mwanamke? au mwanamme?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Toka Jana wambeya tuna Subiri kwa hamu na shauku kubwa Screenshot DaJane ukuje jamanii tumekuhamu why umeutelekeza uzi.
Afu ukute jamaa lilizibua mtaro,hawezi hata kukaa vizuri kazi kuja kulalamika tu humu.hahahaha sema jamaa aliye kudanganya ana miliki kampuni 2 alikuweza hahahaha kakufunua kuja kushtuka anamiliki mbupu tu.
alafu ulivyo sema unampenda kivipi yaani ikiwa hujawahi muona zaidi ya kupenda mafanikio yake.
naunga mkono uongo uendelee hadi wanyooke
Nzote nazo mkuu π€£π€£π€£π€£Mkuu wewe ni mwanamke? au mwanamme?
Nilikuqoute kama mwanamme ila chini umejieleza kama mwanamke...
Haya mkuu...mbona unacheka sasa. Mshukuru Mungu kama uyasemayo ya kweli.Nzote nazo mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HahahahahIla best huyo mtu mnaye mzungumzia mbona na sisi wengine hatumjui jamanii tuambieni na sisi ππππ
Samaki mmoja akiozaAliyewaumiza ni mmoja iweje hukumu iwe ya dunia.nzima
Kweli sijaridhika. Ila madam..mi sio mdogo wako banaa.. nahisi tunalingana [emoji1787][emoji1787]Hahahaha
Mbona kama hujaridhika mdogo wangu?
Unamtoa ,,una acha wengine wanapiga mbiziSamaki mmoja akioza