Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Haya mkuuSitetei yeyote hapo
Sasa tutawapataje nyie maua yetu? au hadi mtutongoze wenyeweAcheni kutongoza
Ngoja nibet nikila nakuja pm......nakupendaga sana we mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123] kwakweli
Jifunzeni kutongoza la sivyo mtaendelea kupata vichambo Kama hivi kutoka kwa Da Jane.Sasa tutawapataje nyie maua yetu? au hadi mtutongoze wenyewe
Jifunzeni kutongoza la sivyo mtaendelea kupata vichambo Kama hivi kutoka kwa Da Jane.
Kuna mwenzenu kasema eti tunamtongoza Sana, pm yake imejaa wadada wanamtongoza. Mzushi sana huyo jamaa.
Good boySina sababu ya kujifunza kutongoza kwa maneno badala yake wacha nisake mahela mtajikoki wenyewe tu.
.
.
Inaweza kuwa kweli mnamsobokea mchizi,hilo linawezekana kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani. A boy will always be a boy! Sina maana ya kuwa wewe bado mdogo.A boy?!?!? Mkuu, nitake radhi.
Awwwww! kishingo upande.......sawa saw good girl hàhhahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani. A boy will always be a boy! Sina maana ya kuwa wewe bado mdogo.
Thank youAwwwww! kishingo upande.......sawa saw good girl hàhhahah
Miguu yako inatishaMimi sicomment chochote kwenye huu uzi
😅😅bet kwanza basi😊😊Ngoja nibet nikila nakuja pm......nakupendaga sana we mtoto
Ha ha ha ha,wazee wa Pm poleniWanaume sometimes tunajidhalilisha sana Mkuu,unakuta jitu lishakomaa bby bby sijui nini,wanawake wenyewe ndio sample hiyo hapo juu,na sometimes ukute ni janaume tu linawachora,bahati nasibu hadi kwenye mapenzi!!..
Is your price ¥ 900?Noop, my Price Tag is Dadii.
Thank you
😅😅😅hongera kwa maandalizi ya valentine aisee...kweli dunia haipo fair..
Is your price ¥ 900?