Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
- Thread starter
-
- #21
Hivi umeelewa mada kweli?GamahaMazda st: 16485246 said:Hawa ndio wanawake wa mitandaoni hata ukimsalimia tu lazima akuombe hela. yaaani wenyewe ni hela hela hela hamna kingine.
Soma mada vizuri. Hapa nazungumzia wanaume wa JF. Mtu anataka tuonane halafu gharama ya mafuta juu yanguLadies bana, kuna jamaa yangu alimbandua mke wa rafiki yake tena si kwa kutongoza! Alimwambia tu "shem jamaa kasafiri hii baridi haivumiliki aisee...!!" Yule mwanamke akajibu niwekee mafuta ya 50,000/ tukatoane jasho.
Jamaa akatoa 60,000/ akabandua kiulainii!! Niliumia kama ni mke wangu duu!! Yaan hata jamaa ana umri wa late 30 lakini anakwambia sioi, wanawake wamekuwa cheap sana hasa walio kwwnye ndoa
Mwanamke wa mtandaoni? Mi nafanya kazi ofisi nzuri tu hapa town. Halafu nina mradi wa salon unaniingizia hela nzuri tu. Na sijafika hata miaka 27Hawa ndio wanawake wa mitandaoni hata ukimsalimia tu lazima akuombe hela. yaaani wenyewe ni hela hela hela hamna kingine.
hata kama unamiliki benk, bado umejipambanua kama mwanamke wa mtandaoni. utamwombaje mtu hela hata hamjaonana. una tofauti gani na wale wanaotangaza bei kabisa.Mwanamke wa mtandaoni? Mi nafanya kazi ofisi nzuri tu hapa town. Halafu nina mradi wa salon unaniingizia hela nzuri tu. Na sijafika hata miaka 27
Aah!!! Altezaaaa ulinunua Alteza ukiwa huna hela ya mafuta??? Uza Alteza ununue mafuta!!!
Point ya msingi ni mtu kunitaka nimfuate kwa gharama zangu. Whether it is by Altezza or on a public transport. Jifunze kuelewa msingi wa mada. Itakusaidia sana maishaniAah!!! Altezaaaa ulinunua Alteza ukiwa huna hela ya mafuta??? Uza Alteza ununue mafuta!!!
Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
ha ha hawengi wetu tunapenda tiGO [emoji15] [emoji15]
SIKU HIZI PAPUCHI INAGAIWA KWA MAFUTA TU INAMAANA THAMANI YA HELA IMESHUKA?
teh teh tehAlikuwa anakutania, huna uzuri wowote
kupenda ni PETROL?????Hujui kupenda
Humu JF dada si mahala pake, kama ni papuchi yako peleka kule kwani si unajua magulio yenu.Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
sijakuzidi wewe mkuu..tehha ha ha
we jamaa mkorofi sana wewe.
Dah
unamfata mbeya????Point ya msingi ni mtu kunitaka nimfuate kwa gharama zangu. Whether it is by Altezza or on a public transport. Jifunze kuelewa msingi wa mada. Itakusaidia sana maishani