Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,024
Hayo ndiyo maajabu [emoji23] [emoji23]halafu hao hao wana watoto nje
Hapo sasahalafu hao hao wana watoto nje
Umeonaa eehUjinga tu unawasumbua! Hao hao ndo wenye hao watoto ila kulalamika hakuishi juu ya single mothers!
Wacha tuwasubiriiiHahahhh waje kwakweli
Achana nao wasikuumize kichwa Bora Mimi single mother najitambua na jamii inajua hivyo kuliko wao wanalea watoto wa wanaume wenzeo bila kujua, na wamelelewa na ma Baba ambao si waoHellow jf,naomba kuwauliza wanaume mliopo humu jf hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi mbona mnawaandama sana kila kukicha single mothers..naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachoshaaaaaaaa as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu,au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Tena wanaolea watoto wasio wao kwa kudhani ni watoto wao ni wengi,lakini hilo hawalifikirii daily wanazungumzia kuhusu single mothers tu,wanaboa sana!Achana nao wasikuumize kichwa Bora Mimi single mother najitambua na jamii inajua hivyo kuliko wao wanalea watoto wa wanaume wenzeo bila kujua, na wamelelewa na ma Baba ambao si wao
Pole mkuu,Hellow jf,naomba kuwauliza wanaume mliopo humu jf hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi mbona mnawaandama sana kila kukicha single mothers..naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachoshaaaaaaaa as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu,au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Kwanini?Hapa naona pamenivuka kimo, ebu ngoja niweke kambi ya kuam msomaji tu.
Na upande wa wanaume je?Kuna watu walio wahi kuwadate single mothers wakaenda poa, ila wengi mambo hayawi mazuri, halafu baba wa mtoto anaweza piga mzigo muda.
Hata wewe single mother mwenyewe sidhani kama ungependa mtoto wako wa kiume aje alee mtoto asiye wake.
Pia uki date na single mothers unafanya double work, umfurahishe mama na mwanae.
*kuna wale ambao walio zaa nao walifariki wana la kujitetea, zaidi ya hapo wanawake kuweni makini siyo kila mwanaume wa kuzaa naye tu.
Mkuu....halafu hao hao wana watoto nje
Inaonekana ulishapitia apo si kwa maelezo ayoKuna watu walio wahi kuwadate single mothers wakaenda poa, ila wengi mambo hayawi mazuri, halafu baba wa mtoto anaweza piga mzigo muda.
Hata wewe single mother mwenyewe sidhani kama ungependa mtoto wako wa kiume aje alee mtoto asiye wake.
Pia uki date na single mothers unafanya double work, umfurahishe mama na mwanae.
*kuna wale ambao walio zaa nao walifariki wana la kujitetea, zaidi ya hapo wanawake kuweni makini siyo kila mwanaume wa kuzaa naye tu.
Nawasubiri waje mkuu maana wanachonga sana juu yetuTena wanaolea watoto wasio wao kwa kudhani ni watoto wao ni wengi,lakini hilo hawalifikirii daily wanazungumzia kuhusu single mothers tu,wanaboa sana!