Wanaume wa Jf : Toa dukuduku lako kwa wadada wa jf Wajirekebishe!

Mimi nawasaidia kwa kuanzia

"Wadada wa jf fungueni pm zenu hizo mnapishana na magari ya mishahara"


Karibuni wanaume mtoe madukuduku yenu wadada watapita hapa kusoma ili wajirekebishe.

Location: Star baber shop Dodoma.
Hizi location unazotoaga mbona kila nikikufwatilia holla??
 
Sijaona uhusiano wowote kati ya uzi wangu huo na nilichokoment!
 
Sio asilimia kubwa sema wadada wa Jf uliokutana nao wewe.
Mbona mi najua warembo wa huku sema sikutajii maana wengine rafiki zangu niliwashawishi mimi kujiunga na wengine wawili mekutana nao huku.
Nini maana ya asilimia kubwa? hao wazuri ambao wewe unawafahamu ni asilimia chache, ila asilimia Kubwa ni Wabaya haswa, siku hizi wadada wa JF siwatongozi maana humu jukwaani atakuwa bonge la mjanja na uta imagine kuwa ni mzuri kinoma ila kutana naye sasa utakimbia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…