Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Masharubu yana raha yake...mda wakupiga deki yanakua nanakuchoma choma kwa chini[emoji23] [emoji23] [emoji23] , jaribuu ulete mrejesho[emoji23] [emoji23] [emoji23] badili avatar siipendi naona kama chizi Fulani hv[emoji23] halafu mapengo mabayaaa
Na nisivyopenda madevuuu kaaah!(mbebs anajua hili)
Yaani masharubu hapana!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kaaah!ndinga hilo hapana kwanza kuuukuuu!Naomba unipende, nitakupa hii ndinga...[emoji30][emoji30]View attachment 821001
hahaha wewe avatar yako inanipa mawazo sana,nawaza hapa ukinipiga mchumu wa lips to lips hapo si na mimi naonekana nimepaka lipstick?[emoji23] [emoji23]Kweli tena [emoji3][emoji3][emoji3]avatar gani hyoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] huoni zenu zilivyo nzuri hata miandiko inaa akisi yaliyomo yamo!
Aaah!wapii!siyapendi Mimi!na wala sitaki kutest!!Masharubu yana raha yake...mda wakupiga deki yanakua nanakuchoma choma kwa chini[emoji23] [emoji23] [emoji23] , jaribuu ulete mrejesho
Mkuu, naomba niamini kwamba umewawakikisha wengi humu jf.[emoji23] [emoji23] [emoji23] badili avatar siipendi naona kama chizi Fulani hv[emoji23] halafu mapengo mabayaaa
Na nisivyopenda madevuuu kaaah!(mbebs anajua hili)
Yaani masharubu hapana!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mafisi yanasoma sifa unazopenda hapa,soon yatabisha hodiAaah!wapii!siyapendi Mimi!na wala sitaki kutest!!
Napenda kifua plain kabisaa...!!masuala ya kuchomana chomana akuuu
Waache wabishe hodi wataingia ndani ila kula hawali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mafisi yanasoma sifa unazopenda hapa,soon yatabisha hodi
Usiwe mchoyoWaache wabishe hodi wataingia ndani ila kula hawali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wali una mwenyewe!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakuambia sasa!fanyia kazi mawazo yangu!
Kwa nini!Usiwe mchoyo
Acha watu waleKwa nini!
Nikweli mkuu, unaonekana unamawazo mema sana ya kutaka nami nimiliki vyombo matata humu kama babu @Aspirin[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakuambia sasa!fanyia kazi mawazo yangu!
Tafuta avatar moja kaliiiiii!!!!tupia hapo!cheza na PM[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona wanakulaaAcha watu wale
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo La kubadili avatar ngoja nkufundishe hapa hapa!nenda kwenye avatar hapo hapo utapata maelekezoNikweli mkuu, unaonekana unamawazo mema sana ya kutaka nami nimiliki vyombo matata humu kama babu @Aspirin
Ebu fanya basi ukuje PM unifundishe vile wanabadilisha avatar....[emoji30][emoji30][emoji30]
Duhhh....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo La kubadili avatar ngoja nkufundishe hapa hapa!nenda kwenye avatar hapo hapo utapata maelekezo
Pm naogopa!masharafa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Napika muda huu ntumie hela ya uber!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duhhh....
Hapa nitaaibika na uzee huu, ebu fanya ukuje Pale Mwembeni (PM).....[emoji30][emoji30][emoji30]