Ewaaa... six packs tumewaachia mabaunsa. Sie tunang'oa vi-Jokate kwa kutumia wadhifa au farangaHahaha ,asee babu naona umeweka promo hapo,kumbe ndio silaha zenyewe hz?
Hahha mi sisemi kitu bna Usisahau jf sio sehem salama saana , wasije waka ku abdu nondo ukatoe ufafanuzHuyo kidoti mama wa taifa
Eti?! Nije kwako Msata Kilingeni? Sema Haki ya Mungu!!!Ameeeen karibu msata kilingeni nikisafishe nyotaaaa
Hahaha, safi sana ng'oa ng'oa totoz ,Babu sie wajomba zako tupate pakuanzia[emoji23]Ewaaa... six packs tumewaachia mabaunsa. Sie tunang'oa vi-Jokate kwa kutumia wadhifa au faranga
Alafu hadithi za babu AspriniZile za mkupuo zote, totoz za mjini zimeshapiga; kabakiza 37,500/= za kila mwezi za kuchukulia dirishani manake hata kutumia ATM hawezi!!
Bora sipo katika list ya wazinzi
Labda kama alikuwa anafanya kazi Ikulu ya Butiama lakini pale Magogoni; atafanya kupaona kwa mbali tu wakati anaenda Ocean Road Hospital... si unajua kwa umri wake, yeye na tezi na dume ni kama chips na mayai!!!Alafu hadithi za babu Asprini
Mimi nilikuwa nafanya kazi ikulu na makongoro nyerere alikuwa anavaa jeans kazini
Hii ni rhumba, salsa,zouk au ?[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]