Mbn kwa ukubwa wa Id yako naimani huko Pm wanapigana tu vikumbooo
Kumbe huyu bwana siyo mtu mzuri eeh ???
Hahahaha sasa mm nasemaje tusiri twakoo nitatutoa twoteee kwa Malcom LumumbaNdugu yangu Malcom Lumumba, yaani unataka kuanza kunitenga kwa ajili ya utu tufitina tudogotudogo kutoka kwa Demiss?! Umeahidiwa nini hadi unashindwa kuona kwamba tufitina twote hutu ni kv nimeahidi kuanzisha chama la wapiga fitina dhidi yao!!!
Ntamtafuta tuuuhUkibadilisha id itakuchukua miaka 6 kujulikana au umtafute Mwifwa akupe mbinu