Wanaume Wengi wa Kabila la Bubal Linalopatikana Somalia Wana Mabusha (Kutuna kwa Korodani). Inaelezwa Kuwa Hali Hio Huwatokea Kutokana na Imani Yao ya Kulamba Damu Mbichi ya Hedhi ya Ng'ombe. Hii Pia Imepelekea Wanaume Kushindwa Kumridhisha Mwanamke na Hata Kumpa Ujauzito.
Ng'ombe hawana mzunguko wa hedhi lakini wana mzunguko wa joto. Wanaweza kutokwa na damu ya hedhi wakati wa mzunguko huu wa joto (estrus) ambao hutokea kwa wastani wa kila baada ya siku 21 (kipindi ambacho mnyama anapata hamu ya tendo).