Wanaume wa kabila lipi wanaongoza kwa kuhonga Tz

Wachaga,
Wanahonga sana, lakini wengi wao baada ya kuonjeshwa akanogewa na papuchi hatari sana kwa kuhonga,
Na pia wanaongoza kwa kupenda papuchi balaa
 
Asante kwa kulitambua hilo ila ujue unakoelekea utanifilis mda si mrefu mama yoyoo, mbaya zaidi huna asante.


Jamani babaa haya mambo tumalizane chumbaniii...
 
Siku hizi wakurya tuna pesa nyingi sana, hivyo kuhonga huwa ni moja kati ya matumizi ya hiyo mipesa.
NB. Sie tunahonga kwa machale na akili nyingi sana sio kama mangosha.
Mna akili gani kumzidi ngosha ? Kawadanganye nyumbu wenzako
 
Wanyakyusa kwa kweli plus mapenzi ya dhati
 
Jamani babaa haya mambo tumalizane chumbaniii...
Sawa mamaa samahani kwa kuexpose hasira tu ilinijia maana tokea nikuletee kile kitenge original cha kongo 3 pcs hukunipa asante jmn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…