Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
-
- #21
Wale ni wameru mkuu. Warombo na wamachame ni washari ila ladha ya wale wanawake inaonekana kukuchemsha supu mwanaume ni dakika sifuri hakika ni wameru waleNi warombo hao mkuu, wapo kila pahali, hawachekagi na wanaume vishoya [emoji23][emoji23]
Aisee mwanamke tupigane akiwa na sababu.Ni warombo hao mkuu, wapo kila pahali, hawachekagi na wanaume vishoya 😂😂
Wewe shukuru hujapata mwanamke wa kukupiga na kukunyoosha kisawasawa. Wenzako wananyooshwa huko ndani wakitoka nje wanajiona wababeAisee mwanamke tupigane akiwa na sababu.
Sijabahatika tu kukutana na mwanamke mshari,aiseeee yani ningepiga zenkuzdach kama nipo kwenye dojo na mwanaume mwenzangu tena mwenye black belt.
We unanipekua mifukoni kutaka hela nilotafuta ilhali nyumbani naacha matumizi!!???
Hata kama sikuwezi ntakupiga hata na stuli ya kichwa dadadeki.
Japo kiuhalisia wanawake wababe wapo ila hizo za WAROMBO DHARAU IT IS GOING BEYOND LIMITS.
Sasa huyo ukilala nae mwili unanuka kama pipa la pombe[emoji16].Hata kula mate lazima uwe na moyo maana mchanganyo wa vilevi .Nasikia wanaume wa huko nao wameharibika na pombe kali hata kuwapa huduma za usiku wake zao imekua shida.mwanamke wa kaskazini anakula kitimoto kilo 2 alafu anakunywa na mbege kitoto ndoo, baada ya hapo usiku anacheulia na safari kubwa 5.
unakuta kapanda hewani ana kitambi na mwili mkubwa+nguvu, hivyo wanaume wanaogopa kupigwa[emoji41]
Nenda katembee uchagani au arusha alafu uje ufute hii comment yako harakaNi kaskazini ipi mkuu, kama ni kwa wachaga ni Uongo mwanamke wakichaga hata iweje hawezi kumpiga mume wake kwa fimbo wala kwa maneno labda tu kumnyima TENDO la ndoa.
au unazungumzia kaskazini Pemba au afrika ya kaskazini?
Aisee kaka mke wangu mnyaturu.Wewe shukuru hujapata mwanamke wa kukupiga na kukunyoosha kisawasawa. Wenzako wananyooshwa huko ndani wakitoka nje wanajiona wababe
Wameharibika kwa pombe kali kutokana na vipigo na manyanyaso wanayopokea kutoka kwa wake zao.Sasa huyo ukilala nae mwili unanuka kama pipa la pombe[emoji16].Hata kula mate lazima uwe na moyo maana mchanganyo wa vilevi .Nasikia wanaume wa huko nao wameharibika na pombe kali hata kuwapa huduma za usiku wake zao imekua shida.
Ni upuuzi mwanaume kuzichapa na mwanamke, ni heri uachane naye tu maana wanawake wa leo wameajiri wanasheria so atakushinda kisheria ukimtwanga mangumi 😂Aisee mwanamke tupigane akiwa na sababu.
Kuna uzi wao hapa jf Ila hauwataji kama wanawake wa kaskazini bali wanawake wa kimeru 😂Wale ni wameru mkuu
Bro mie mwenye nina ndugu kibao katika field ya sheria mahakama kuu ya makosa ya jinai,jaji usuluhishi mahakama kuu ya ardhi,mwanasheria na mwendesha mashitaka wa serikali.Ni upuuzi mwanaume kuzichapa na mwanamke, ni heri uachane naye tu maana wanawake wa leo wameajiri wanasheria so atakushinda kisheria ukimtwanga mangumi 😂
mimi nimeoa huko mkuu na huko nimefanya kazi sana Huko Rombo,same arusha lakini pia nimeishi huko kwa karibu miaka 15Nenda katembee uchagani au arusha alafu uje ufute hii comment yako haraka
Hapa tunaongelea kaskazini,wanaume wa kaskazini.Wanaume wengi tuuu sio wa kaskazini tuuu
Ndo maana they die mapema
Alafu wanakuwa warefu na vitambi flani hivi vya mbege,akikutia loba lazima massawe ajikojolee.Aseeh mm wanawake wa kaskazin wanikome kbs, they are not romantic,,they are non wife materials bora nikaoe Kanda Ya Ziwa kama nikikosa Pwani hii