eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Najiuliza nashindwa kupata jibu. Maana huyu mtumishi amewaka hasira na kufikiria kuwaadhibu vikali wanaume wa Kenya. Adhabu anayoifikiria ni kali sana mno. Inaweza kupelekea wanaume kuwa na msongo wa mawazo, kuvunjika kwa ndoa na hata kifo.
Tafadhali fuatilia video hiyo hapo chini.
Tafadhali fuatilia video hiyo hapo chini.