Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Hebu tujielekeze kwa hili la wanaume kuuza utu...
Ujinga wa wanawake hauwezi kuhalalisha ujinga wa wanaume...
Sisi ni vichwa mkuu!
Wala msijifariji, siku hizi wengi wenu mmekuwa bendera fata upepo, yaani hasara tupu!!
Hebu tujielekeze kwa hili la wanaume kuuza utu...
Ujinga wa wanawake hauwezi kuhalalisha ujinga wa wanaume...
Sisi ni vichwa mkuu!
Mimi nakubaliana kabisa kwamba ngozi nyeusi siku zote inawaza ngono tu. Hakuna cha ziada.
Ahsante Kiongozi!
Pia concern yangu imekuwa atleast mtu uendeshwe juu ya mapendo!
Nimekazia kwa wanaume waafrika sababu pia mi ni mwafrika..... Then pia sababu hcho kitu kilipatwa kusemwa na hilo li jamaa!
yeye kataja wanaume hao wnawake unawataja wewe sasaWhat about black woman aren't they die to go to bed with the white vibabu???
Kwani wewe unajuaje kwamba haiendeshwi na mapenzi???
Kichwa cha nani?
Kwa maelezo haya mkuu...Mimi nakubaliana kabisa kwamba ngozi nyeusi siku zote inawaza ngono tu. Hakuna cha ziada.
mkuu nimesikitika juzi kuona mwanmke wa kitanzania amejitangaza kwenye vitabu vya matangazo kuwa yeye anataka kuolewa na mzungu.hajali umri miaka unene yaani dah! haya ni mapenzi au?
yeye kataja wanaume hao wnawake unawataja wewe sasa
Interesting perspective.... Kuna comments humu ndani zimenifurahisha kweli yaani....lol... Power?? yawezekana kweli lakini...