Wanaume wa Tanzania hawaogi, Hawafui nguo za ndani, Hawapigi mswaki?

Wanaume wa Tanzania hawaogi, Hawafui nguo za ndani, Hawapigi mswaki?

The Don

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
3,499
Reaction score
1,170
Hili nimelikuta kwenye ukurasa wake wa facebook anasema wanaume wengi wa tz wananuka boxer,midomo,soksi nk,nimelileta hapa jf magreat thinker mnalizungumziaje?
 
Mnampa klediti nyingi sana huyu binti wala asizostahili.

Anyway, kuna ukweli fulani tena wengi hata boksa hawana.

Ukipita vijijini utagundua mtu analala siku 2 bila kuoga.
 
anamwongelea kibonde na wanaume wa redio clouds kina ruge...aje huku aone kama atabanduka..kajitongozesha kwa mabossi maskini wee matokeo yake ndio haya
 
Preta, kama ameongelea kwa popn ya TZ nzima kunaweza kuwa na ukweli.

Asilimia kubwa ya watz wako vijiji na hizo shower jely watazipata wapi? Au hizo boksa watapata wapi wakati wanahitaji mahindi ya msaada?

Kuna ukweli hapa, labda kama tunaongelea hawa wa mjini wenye makazi makubwa.

kama ana-date na visharobaro....vitaacha kunuka.....afate wanaume wenye staha zao aone.....
 
Last edited by a moderator:
anamwongelea kibonde na
wanaume wa redio clouds kina ruge...aje huku aone kama
atabanduka..kajitongozesha kwa mabossi maskini wee matokeo yake ndio
haya

utamjua mtu kwa company yake. inaelekea naye ndivyo alivyo!
 
Hili nimelikuta kwenye ukurasa wake wa facebook anasema wanaume wengi wa tz wananuka boxer,midomo,soksi nk,nimelileta hapa jf magreat thinker mnalizungumziaje?

Nina mashaka na huo utafiti, isije ikawa katembea na vivulana viwili-vitatu halafu anawaita wanaume!
 
Pia alichouzi zaidi mbona hajazungumzia uchafu wa wanawake pia?wengine yani......
wanaume wachafu sio watz tu...embu ajaribu wazungu wanigeria wakongo alafu atuambie kama watz ndio wachafu zaidi...
 
diva loveness ndo nani? Na ametembea na wanaume wangapi moaka akafikia hiyo conclusion?
 
Kama hataki kuzungumziwa basi na yeye afyate mdomo kimya,siyo kuona ana haki ya kuzungumzia wengine akisutwa inakuwa nongwa
Alisema msimzungumzie jaman wanaJF hamsikii?
 
Nina mashaka na huo utafiti, isije ikawa katembea na vivulana viwili-vitatu halafu anawaita wanaume!

Kwani amekutana wapi na wanaume hao wengi nchini? Nina mashaka na utafiti anaosema ameufanya, wapi amepata sample na aliipataje, isije ikawa kachukua wanaume wa hapo hapo kazini kwake wawili, watatu akajiridhisha ati ndiyo wanaowawakilisha wanaume wa Tanzania nzima.
 
Yeye kafata Bomba au Boxer,atoe matokeo ya alichofata,au nae awape ukumbi vile vibitoz vianike kikufuli chake kilivyo!
 
Watu wengine badala ya kudiscuss maada, mnaanza kumdiscuss yeye......!! Anyways.....ila kwakweli hawa wenzetu walio wengi mmmh vitu wanavyovivaa ndani duh....disaster!!!
 
Back
Top Bottom