Halafu sijui kwanini mwingine ukimshika mkono anasema anaona aibu anakwambia sipendi tushikane mikono mbele za watu, halafu baadae huyo huyo anaanza kusema ohooo sijui u dont show me love and affectionate
Utakuta ndoa ni ya mtu wa karibu na mnatakiwa wote muwepo. Nyumba hizi zinaficha mengi sana kuna jamaa niliwahi kuwaona wametoana out wenyewe pale Girrafe Hotel sijui walikuja kusuluisha ugomvi basi walikaa pale hawakuongea mwanzo mwisho na baada ya m/mke kumaliza chakula akamwambia jamaa maliza haraka tuondoke jamaa akamwambia usini-force kula haraka kilichofuata yule dada akabeba funguo za gari akanyanyuka akamwambia utanikuta kwenye gari. Yule m/ume alikasirika halafu watu kibao waliona ile movie ilivyoenda baadae akaagiza mzinga wa konyagi kubwa akaunywa kama juice ulivyoisha akatoka kumfuata mwenza wake kwenye gari
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.
unajua hizi ndoa mara nyingi watu hatuandaliwi vizuri (haswa vijana kuanzia 1970 kuja juu) ndio matokeo yake inakuwa hivi na pia kutomshirikisha Mungu katika maisha ya kila siku ndio inaleta yote hayakwa kweli ndoa ngumu, mie kuliko nitoke na mwenzangu niyafanye hayo ni bora nictoke kabisa, na nikiamua kutoka hata kama nina hacra nitaivumilia nisiharibu mtoko then hayo m engine yataendelea badae.....nyumba hizi khaa.
Usiseme hivyo kuna wanaume wanasema ukimtaka mwanamke unamfanyia chochote lakini ukishamuweka ndani ndio baasi. hapo utakuta mama ulibembelezwa ile mbaya kuolewa uliobwa na kufanyiwa yoote, lakini sasa ukimwambia nataka uwe romantic anakuambia kwani wewe si wangu tu kwani lazima nikufanyie hivi na vile?? kwanza tumeshaoana kwani unataka nini tena?? wala sio kwamba mtu alilazimisha ndoa, lakini hata hiyo mnayosema ya kulazimisha ndoa mi hainiingii akilini mwanamke hawezi kukurupuka na kukulazimisha lazima muwe na mahusiano na mahusiano mwisho wake ni ndoa sijui kama kuna mwanamke alilazimisha kuolewa na mwanaume asie na uhusiano nae!! aonjae asali sharti achonge mzinga!!!
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.
du kwanza ilo jina lako tu,naogopa ata kuweka coment yangu apa! Asha ngedere teh teh! Bwana suala la mapenzi zito,kabla upendo unakuapo tena sana lakn baadaye mamb yanabadilika sjui uwaga inakuaje?wanaume tulio wengi nikiwepo mimi,nikimtnkea demu nikimaliza mambo yangu uwaga natamani ata kumwacha apo apo tulipomalizia mambo yetu.
Mimi nataka sana nifahamu,, kwa hiyo ukimweka mwanamke ndani kama mkeo inatosha na unaona kama hauna jukumu la kumfanya awe happy kwa kumfanyia yale anayoyapenda??Hapo theory inayotumika ni ya kutomlisha chambo samaki aliyeko nchi kavu. Utakuwa unapoteza resources kwa ajiri ya samaki wengine waliokO BADO MAJINI ETI.
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.
Mimi nataka sana nifahamu,, kwa hiyo ukimweka mwanamke ndani kama mkeo inatosha na unaona kama hauna jukumu la kumfanya awe happy kwa kumfanyia yale anayoyapenda??
vunja ukimya ....
siku ukijiskia unataka maua ......mpigie simu umwambie leo usirudi home mpaka uje na maua! yanini kujikera kwa kutaka mwanamme afahamu ile inaitwa 'ilmu lghayb' (elimu iliyojificha) ya kusoma mawazo yako?
Mimi nataka sana nifahamu,, kwa hiyo ukimweka mwanamke ndani kama mkeo inatosha na unaona kama hauna jukumu la kumfanya awe happy kwa kumfanyia yale anayoyapenda??
unazungumzia personal experience au perception?asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.
Hahhaaaaa hahahhaaaaaaaa Inuhuuu??????? Nimeolewa kaka yangu.we umeolewa?
Hii sredi nimeipenda, mi siku moja nimeenda kwenye arusi nakutana na mshkaji yuko na waif wake hadi arusi inaisha hawajaongea, kama vile haitoshi ilipofika muda wa msosi waifu akazuga kwenda msalani, aliporudi akaunga foleni nyuma ya hubby wake kama mtu wa tatu, sikuipenda kabisa ile. Kama vipi si wangeacha kuja tu. Ila jamaa alikuwa anautafuta ukaribubila mafanikio.
Kuna baadhi ya mambo yes ni mimi mengine kutoka kwa rafiki zangu tukiongea.unazungumzia personal experience au perception?
ukiona hivyo ujue hiyo ndoa ni kongwe ina miaka zaidi ya mitano, ndoa kongwe zina visa sasa si bora hao walikaa pamoja kuna nyingine unasikia mtambulishaji anasema baba mdogo na mkewe popote mlipo tunaomba msimame unakuta baba mdogo anasimama mbele ya ukumbi na mkewe anasimama upande wa pili kabisa[/QUOTE]
hahahahah u made my day FD...
Utakuta ndoa ni ya mtu wa karibu na mnatakiwa wote muwepo. Nyumba hizi zinaficha mengi sana kuna jamaa niliwahi kuwaona wametoana out wenyewe pale Girrafe Hotel sijui walikuja kusuluisha ugomvi basi walikaa pale hawakuongea mwanzo mwisho na baada ya m/mke kumaliza chakula akamwambia jamaa maliza haraka tuondoke jamaa akamwambia usini-force kula haraka kilichofuata yule dada akabeba funguo za gari akanyanyuka akamwambia utanikuta kwenye gari. Yule m/ume alikasirika halafu watu kibao waliona ile movie ilivyoenda baadae akaagiza mzinga wa konyagi kubwa akaunywa kama juice ulivyoisha akatoka kumfuata mwenza wake kwenye gari