ok, pole sana kwa experience hiyo... unamiss kweli mapenziKuna baadhi ya mambo yes ni mimi mengine kutoka kwa rafiki zangu tukiongea.
ok, pole sana kwa experience hiyo... unamiss kweli mapenzi
kuna chama cha wana infii unakaribishwa sana aisee... ada ya uanachama ataku-PM katibu na nakuombea sana mafanikio ndani ya chama
duu jamaa atakuwa alikuwa na kiu sanaUtakuta ndoa ni ya mtu wa karibu na mnatakiwa wote muwepo. Nyumba hizi zinaficha mengi sana kuna jamaa niliwahi kuwaona wametoana out wenyewe pale Girrafe Hotel sijui walikuja kusuluisha ugomvi basi walikaa pale hawakuongea mwanzo mwisho na baada ya m/mke kumaliza chakula akamwambia jamaa maliza haraka tuondoke jamaa akamwambia usini-force kula haraka kilichofuata yule dada akabeba funguo za gari akanyanyuka akamwambia utanikuta kwenye gari. Yule m/ume alikasirika halafu watu kibao waliona ile movie ilivyoenda baadae akaagiza mzinga wa konyagi kubwa akaunywa kama juice ulivyoisha akatoka kumfuata mwenza wake kwenye gari
sipati picha kilichofata baada ya hapo na hivi mens hawapendi kudhalilishwa mbele za watu!Utakuta ndoa ni ya mtu wa karibu na mnatakiwa wote muwepo. Nyumba hizi zinaficha mengi sana kuna jamaa niliwahi kuwaona wametoana out wenyewe pale Girrafe Hotel sijui walikuja kusuluisha ugomvi basi walikaa pale hawakuongea mwanzo mwisho na baada ya m/mke kumaliza chakula akamwambia jamaa maliza haraka tuondoke jamaa akamwambia usini-force kula haraka kilichofuata yule dada akabeba funguo za gari akanyanyuka akamwambia utanikuta kwenye gari. Yule m/ume alikasirika halafu watu kibao waliona ile movie ilivyoenda baadae akaagiza mzinga wa konyagi kubwa akaunywa kama juice ulivyoisha akatoka kumfuata mwenza wake kwenye gari
Hayo mambo yanatofautiana kati ya ndoa na ndoa.Haiwezekani na sio vizuri kututia wanaume wote katika kundi hilo wakati saa zingine tunapenda sana kuonesha malavidavi lakini wenzetu wanatuangusha.Mfano ni jamaa yangu mmoja alikuwa na mke wake mjini basi akajaribu kumshika mkono mkewe, huyo mwanamke alivyoruka na kumsukuma mumewe!Hebu tangulia huko tunakaa tunashikana shikana mikono tu na majasho haya?Sasa hapo utamlaumu mwanaume kama asipomuonesha hayo mambo mkewe siku nyingine?
Hapo baadae mwanamke anaanza kulalamika eti aunionyeshi mapenzi hii si kwa wanawake tu hata wanaume mimi napenda sana mkiwa barabarani au popote pale haijalishi nani anawaona jiachieni show that you love each other haya mambo ya kutangulia mbele kama mshambuliaji halafu mwingine yuko nyuma kama beki siyapendi utafikiri mmetoka gestiHayo mambo yanatofautiana kati ya ndoa na ndoa.Haiwezekani na sio vizuri kututia wanaume wote katika kundi hilo wakati saa zingine tunapenda sana kuonesha malavidavi lakini wenzetu wanatuangusha.Mfano ni jamaa yangu mmoja alikuwa na mke wake mjini basi akajaribu kumshika mkono mkewe, huyo mwanamke alivyoruka na kumsukuma mumewe!Hebu tangulia huko tunakaa tunashikana shikana mikono tu na majasho haya?Sasa hapo utamlaumu mwanaume kama asipomuonesha hayo mambo mkewe siku nyingine?
sijui ilikuwaje huko walikotoka, ndio maana ukiona wanandoa wanaenda kazini kwenye magari yao ni full kununiana wanaokolewa na kina Gerard Hando na PJ asubuhi au Gardner na Kibonde jioni ndio wanawasababishia tabasamu kidogo kwa maneno yao redioniNadhani home kulikuwa ni vita ya Israel na palestina
hapo pekundu umenikumbusha mbali kweli kuna jamaa mmoja kipindi hicho bwana mdogo alienda guest na kibinti walikuwa wote form one, basi jinsi ya kuingia alitangulia yule mvulana baadae akafuata msichana pale mapokezi wote wametokea kona tofauti mhudumu ikabidi awahoji kutokana na umri wao mdogo lakini baadae akawaruhusuHapo baadae mwanamke anaanza kulalamika eti aunionyeshi mapenzi hii si kwa wanawake tu hata wanaume mimi napenda sana mkiwa barabarani au popote pale haijalishi nani anawaona jiachieni show that you love each other haya mambo ya kutangulia mbele kama mshambuliaji halafu mwingine yuko nyuma kama beki siyapendi utafikiri mmetoka gesti
Safi sana mjumbe...Katibu, hebu nukuu hii yuziful material!ok, pole sana kwa experience hiyo... unamiss kweli mapenzi
kuna chama cha wana infii unakaribishwa sana aisee... ada ya uanachama ataku-PM katibu na nakuombea sana mafanikio ndani ya chama
Wewe, hilo jina haliendani na hii sredi, jina lako, na tabia yako! hebu leta ada yako ya Septemba. We mwanachama wetu, acha kuzuga watu hapa!Heheheheheeeee ushindwe katika jina la yesu... LOL not ready for that chama.
ezan hiyo picha kwenye avatar yako si la kuzaliwa nalo huyo ni mchina 100%Kwamimi nisiye kwenye ndoa najaribu kuangalia hapa nitachangia vipi? any way siyo lazima nichangie:A S 13:
vunja ukimya ....
siku ukijiskia unataka maua ......mpigie simu umwambie leo usirudi home mpaka uje na maua! yanini kujikera kwa kutaka mwanamme afahamu ile inaitwa 'ilmu lghayb' (elimu iliyojificha) ya kusoma mawazo yako?
Babu wewe ndio ume-cut the chase..No time to weste.tupobusy na hela.
ok, pole sana kwa experience hiyo... unamiss kweli mapenzi
kuna chama cha wana infii unakaribishwa sana aisee... ada ya uanachama ataku-PM katibu na nakuombea sana mafanikio ndani ya chama
Safi sana mjumbe...Katibu, hebu nukuu hii yuziful material!
Wewe, hilo jina haliendani na hii sredi, jina lako, na tabia yako! hebu leta ada yako ya Septemba. We mwanachama wetu, acha kuzuga watu hapa!
me ntaliaaaaaaaaaaaa waweee hadi anakuaja kunibembeleza ndo nanyamaza