Wanaume waanza kujiuza

Mwisho wa dunia unavyokaribia mbona tutayaona mengi?
 
hata mie najiuza ,wananiita,kidume cha mbegu,,,,,kcm,,,,,,,,a,k,a ,,,ail,maarufu kishuka,,,,weweeeee...utaipendaga,,,,karibuni,,,,:msela:
 

Upumbavu ni zama za giza.
 
Hii kitu si kwa mabaunsa wa klub tu hata kwa WANACHUO WATEGEMEA BOOM wanapenda sana kutafuta mijimama chuoni yenye hela zao ili wawe wanawapa mpunga yaani kuwatoa,Wenyewe wanachuo wanaita KUSAFIRIA NYOTA
 
khaah njaa jaman mi nkajua mashoga
So wauza pipe tu jicho je?
 
Hivi hawawezi kusanya hizi energy wakawauzia Ministry of Energy and Minerals kwa ajili ya grid ya taifa?

Mie nashindwa kukuunga mkono kusema wanapenda mteremko!
Kwa nini usichukulie hiyo ni AJIRA (sekta binafsi ?)
huoni anapokua kibaruani kulisatisfai jimama huyu mtu anatumia energy ?
 
Wadada wanaitwa MA KAHABA na kwa wanaume BA KAHABA
 
Nyie mwa shangaa v2 vdogo hvyo wakat mwanaume ukiwa fit katka majamboz lazma mijimama yenye mihela ikuchukue na ukiirizisha lazma kila cku akupe mpunga wa maana hapo una win kmaisha aisee kwa vle mabwana zao hawawarizsh kabisa datz why wanafanya hv.
 
hata mie najiuza ,wananiita,kidume cha mbegu,,,,,kcm,,,,,,,,a,k,a ,,,ail,maarufu kishuka,,,,weweeeee...utaipendaga,,,,karibuni,,,,:msela:

ee tunakujua wewe unauza tigo kwani uongo. Unaliwa back yard lol, pole sana.
 
Hii kitu si kwa mabaunsa wa klub tu hata kwa WANACHUO WATEGEMEA BOOM wanapenda sana kutafuta mijimama chuoni yenye hela zao ili wawe wanawapa mpunga yaani kuwatoa,Wenyewe wanachuo wanaita KUSAFIRIA NYOTA

Hawa mabaunsa si ndio wanaongoza kwa kutatuliwa marinda?
 
Mwisho wa dunia unavyokaribia mbona tutayaona mengi?

hivi kuna mwisho wa dunia kweli au ni blablaaa tu! Nijuavyo mimi mwisho wa dunia ni pale jua litakapoacha kutoa mwanga maana kila kitu kitakuwa ndo mwisho wake!
 
mbona kitambo tu wanajiuza, sio club tu, hata carwash siku hizi vijana wanajilengesha kwa mijimama..........
 

Duh,kwa hiyo hii ni kitu ya zamani sana eh?
Basi sio mbaya,"haki sawa" naona imeanza zamani ila
ilikua haionekani
 
Hawa waitwa makababu (Maana yanaliwa tuu). Kwa sasa Tanzania wanaume wengi wanapenda mteremko! We unacheza

pool table asubuhi mpaka jioni unategemea nini? Ndo kujiuza kunaanzia hapo

Mie nashindwa kukuunga mkono kusema wanapenda mteremko!
Kwa nini usichukulie hiyo ni AJIRA (sekta binafsi ?)
huoni anapokua kibaruani kulisatisfai jimama huyu mtu anatumia energy ?

Asante sana Judgement kwa jibu lako,hiyo ni ajira pia
naskia wanaingiza mamilioni hao wacheza pool,hasa wale wa mombasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…