Wanaume waanza kujiuza

Mimi sioni kitu cha ajabu hapo. Najua hao wamama ambao wenye hela zao( wawe wafanya biashara au wake wa wakubwa) muda mwingine wanakosa muda wa kutulia na waume zao kutokana na sababu mbali mbali. Kuna kosa gani kumpenda na kumchagua kijana ambaye yeye anahisi atamkuna ipasavyo? Kwani kupenda na kuchagua akufaaye nii kwaajili ya wanaume tu?, La hasha!, wanawake pia wanayo nafasi ya kujichagulia wapendacho.
 

Haki sawa,safi sana.
So hao wanaume waitwe jina gani?
Maana wadada wapo wanao itwa nyumba ndogo,kimada,kahaba etc.
 
mama D jamani
imekuwaje umeniwahi,
mimi nilikuwa namshangaa aliyesema 'waanza kujiuza'
wakati walishaanza siku nyingi sana.

Mbona siku nyngi sana!!???
Wanaume wananunuliwa na kutumika tu sana
 
kwahiyo ukimfuata,unapatana nae bei kabisa?kwa hiyo na wao wapo wa class tofautix2,kuna waelfu 10,5,3,2,1,na jelo?au?
 
Umalaya ni umalaya tu; hata kama ni wa kiume ni malaya tu
 

Hiyo kwetu haiajafika, ila ninachokujua ni kwamba wamama wanapenda vijana wanaojituma kunako 6 x 6; kama wanajiuza hiyo sina uhakika na hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…