Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajat inatamkwaje??......Hayati au?
majibu ya fomu fooo yamesha toka??go back to necta ...
anaitwa hajati
hajati
Anaitwa mchungaji makondoo au paroko au kasisi au padiri au papa au Mwinjilisti
Muhubiri au sister ( kwa kiswahili) sijui anaitwa dadaa
Na pia kuna mabrother hao kazi zao sizijui
Anaitwa mchungaji makondoo au paroko au kasisi au padiri au papa au Mwinjilisti
Muhubiri au sister ( kwa kiswahili) sijui anaitwa dadaaa.
Na pia kuna mabrother hao kazi zao sizijui
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Zero akufumania majibu ya mtihani utamjua, atajibu swali hilo hilo moja mara 7.
Haya umepata, makofi kwa zero...!!
Swali la pili: Mwanamke uliyemuoa kisha ukamuacha, ikabidi aolewe na rafiki yako halafu aachwe na wewe umuoe tena anaitwaje?