Sahani20 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2013 Posts 1,518 Reaction score 741 Jan 10, 2017 #1 hivi sasa wanaume hawataki kuoa hali ni ngumu mtaani ewe mdada jiangalie/jichunge watakuchezea na kukuacha wanadai wako likizo
hivi sasa wanaume hawataki kuoa hali ni ngumu mtaani ewe mdada jiangalie/jichunge watakuchezea na kukuacha wanadai wako likizo
Me I and my self JF-Expert Member Joined Sep 16, 2016 Posts 4,077 Reaction score 8,828 Jan 10, 2017 #2 Nani aliewalipa hela ya kwenda likizo..!? Hata mabinti pia nafikiri wako field.
goldie ink JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 5,634 Reaction score 9,149 Jan 10, 2017 #3 Fikra na mtazamo wako ni mdogo kuliko kawaida. Tafadhali usiongee maneno yasiyo na maana.
Sahani20 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2013 Posts 1,518 Reaction score 741 Jan 10, 2017 Thread starter #4 goldie ink said: Fikra na mtazamo wako ni mdogo kuliko kawaida. Tafadhali usiongee maneno yasiyo na maana. Click to expand... ongea basi yaliyo na maana nimethubutu na wewe pia thubutu mkuu, karibu
goldie ink said: Fikra na mtazamo wako ni mdogo kuliko kawaida. Tafadhali usiongee maneno yasiyo na maana. Click to expand... ongea basi yaliyo na maana nimethubutu na wewe pia thubutu mkuu, karibu
goldie ink JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 5,634 Reaction score 9,149 Jan 11, 2017 #5 geophrey20 said: ongea basi yaliyo na maana nimethubutu na wewe pia thubutu mkuu, karibu Click to expand... Asante kwa kunikaribisha mkuu...
geophrey20 said: ongea basi yaliyo na maana nimethubutu na wewe pia thubutu mkuu, karibu Click to expand... Asante kwa kunikaribisha mkuu...
Royal Warrior JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 1,166 Reaction score 2,143 Jan 11, 2017 #6 kama ww hutaki kuoa basi tulia sie wenzako tuwahi ,, kwani hujui ile methali isemayo ``chelewa chelewa utakuta mwana si wako?`` ukisusa, sie twala.
kama ww hutaki kuoa basi tulia sie wenzako tuwahi ,, kwani hujui ile methali isemayo ``chelewa chelewa utakuta mwana si wako?`` ukisusa, sie twala.