Wanaume wako likizo

Sahani20

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
1,518
Reaction score
741
hivi sasa wanaume hawataki kuoa hali ni ngumu mtaani
ewe mdada jiangalie/jichunge
watakuchezea na kukuacha
wanadai wako likizo
 
Fikra na mtazamo wako ni mdogo kuliko kawaida.
Tafadhali usiongee maneno yasiyo na maana.
 
Fikra na mtazamo wako ni mdogo kuliko kawaida.
Tafadhali usiongee maneno yasiyo na maana.
ongea basi yaliyo na maana nimethubutu na wewe pia thubutu mkuu,
karibu
 
kama ww hutaki kuoa basi tulia sie wenzako tuwahi ,, kwani hujui ile methali isemayo ``chelewa chelewa utakuta mwana si wako?`` ukisusa, sie twala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…