Wanaume Wako Wapi?



hahahahaha u made my day ....
 

uwe unasoma posti zote kabla hujachangia, maswali na hoja zako zimeshajibiwa
 

exception is not the rule, katika ujumla wetu wanaume hatupo kama vile ambavyo katika ujumla wetu tumeyaachia mafisadi yatafune nchi!
 


Kwa kuwa uko "In The Closet' basi unadhani hiyo ndio sababu ya hao kina dada pia

Profile yako inasema hivi:

Join Date : 11th January 2012
Location : In The Closet
Posts : 50
Rep Power : 329
Likes Received18
Likes Given0

nimeelewa sasa, yes, huyo dada alikuwa closeted kama mimi kwa hiyo kuepusha soo akaolewa.
 
Madiliko ya sasa hivi yanaenda haraka to an uknown direction. Jaribu ku imagine miaka 25 ijayo, although next time ukikutana nao usiishie kwnye "Salale!!" Waombe wote wawili uwajoin, ama wakujoin which ever works.
Kazi za 6 kwa 6 za za hivi na za zamani zimetofautiana ndio, labda kwa sababu ya aina ya vyakula lakini wanaume siku hizi tuna jikuta tuna misongo sana ya maisha, mda mdogo wa kupumzika, mazoezi haya mambo ni ya kushirikiana zaidi kuliko kunyosheana vidole.
 
nimeelewa sasa, yes, huyo dada alikuwa closeted kama mimi kwa hiyo kuepusha soo akaolewa.

denialism yako unai-generalize to her wakati ukweli ni kuwa alipewa penzi moto moto na mwanamke mwenzake baada ya kuvurugana na mume wake basi akaona kha kumbe sisi wanaume ni michosho tu, tume-abdicate responsibility yetu!
 
Kwahiyo you draw your conclusion on a single case? leta na idadi ya wanawake walio weza ku-replace wanaume na mwanaume mngine halafu ndio tufanye comparison.

cases ziko nyingi, acha french denialism - homosexuality is socially (and now politically) constructed primarily on the basis of dissatisfaction with men who have failed to live up to their bidding, biological cases are exceptional to the rule!
 

hatunyosheani vidole, tunaelezana ukweli - men are primarily responsible, kumbuka hata adamu alipoulizwa badala ya kukiri tatizo ni yeye akaanza kutupa lawama kwa hawa/eva!
 
tatizo sio wanaume!!!!! Tatizo ni wanawake na ushetani wao!!! Tamaa zinawamaliza...ukimtokea..anakugeuza baba ake nani anataka kuhudumia kila siku, unless sio mkewe wa ndoa!!! Tunawakimbia maana mmejaa kero..hakuna cha tulizo tena..Mungu aliumba mwanamke ili awe tulizo kwa mwanaume...kifikra na kiroho pia..lakini shetani ameweka tamaa mioyoni mwenu ili kubadili kusudi la Mungu, na kugeuza uwepo wa wanawake kama mtaji kwao..
 

hapo penye nyekundu ndio msingi mkuu wa mada hii, wanaume tumekimbia majukumu na tunatoa visingizio kibao!
 
denialism yako unai-generalize to her wakati ukweli ni kuwa alipewa penzi moto moto na mwanamke mwenzake baada ya kuvurugana na mume wake basi akaona kha kumbe sisi wanaume ni michosho tu, tume-abdicate responsibility yetu!
what are talking about! i'm not in denial and although i haven't told the world, i don't have relations with women just to cover up either...

but the fact remains a straight woman does not go to another woman after being hurt by a man, she looks for a better man period! Assume your wife breaks your heart, will you go to a man?? 'penzi moto moto' doesn't change a person's orientation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…