Wanaume waliosoma seminari

Mambo kibao... seminar kwa sisi watoto tuliokulia mitaani nipagumu saana. Utahisi unaonewa kila siku.

Kwasasa umeamua kaka... teh haya.
Si niliamua siku nyingi ukawa unanibania.

Kaka bora ulijijua ukasepa tu mapema maana [emoji134] [emoji134]
 
Sio wezi na wengi sio walagai, hasahasa yule alieiva
Mfano ni magufuli
Ila ni rahisi kutekwa kimape z maana hawajayazoea sana
 
We [HASHTAG]#Daby[/HASHTAG] Mpuuzi kweli wewe, yani hilo tu ndo umeliona ?
 
Sio kazi yako kuwahesabu wewe ukishatambulishwa muheshimu tu maana sasa hakuna namna sis.
Sasa hadi najikuta nawasahau maana kila siku natambulishwa mpya. Haya hebu nitambulishe hao wifi zangu.

Hivi hamna namna kabisa kweli!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…