Wanaume wanaangamia kwa kukosa maarifa

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,156
Wakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke.

Kaka upo serious na maisha kweli!.
 
unapata stress kwasababu ya mwanamke mwenye stress kukuzidi
 
wapo walioaga dunia kwa sababu hiyo hiyo ya kupenda....!

maisha hayako fair kabisa unayempenda kwa dhati naye anasumbuliwa na anayempenda kwa dhati...., tuwaache wapumzike kidogo
 
Wakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke.

Kaka upo serious na maisha kweli!.
Kila apambane kivyake kwahiyo ulitaka wote tuwe na stress za interview hii dunia itaenda kweli
 
Wakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke.

Kaka upo serious na maisha kweli!.
Maisha nini?
 
Wakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke.

Kaka upo serious na maisha kweli!.

Tangu uzaliwe, leo ndio umeongea kapoint kadogo...
 
Wakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke.

Kaka upo serious na maisha kweli!.
Jf kuna vibweka vya kila aina
 
wapo walioaga dunia kwa sababu hiyo hiyo ya kupenda....!

maisha hayako fair kabisa unayempenda kwa dhati naye anasumbuliwa na anayempenda kwa dhati...., tuwaache wapumzike kidogo
Kunywa soda hapo kwa mangi manake unahangaika na mtu nae anahangaika na ngedere mwingine huko pumbavu
 
wapo walioaga dunia kwa sababu hiyo hiyo ya kupenda....!

maisha hayako fair kabisa unayempenda kwa dhati naye anasumbuliwa na anayempenda kwa dhati...., tuwaache wapumzike kidogo
Huyu na huyu ,yule na huyu tuseme ni kupokezana kijiti,mapenzi bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…