wanaume wanaofanya ngono nje ya ndoa kufa kwa ugonjwa wa moyo

duh . . . . .
Umewashika pabaya

je wake za watu wanaocheat?
Nao wako hatarini?
 
Duh! Nyumbandogo jihadaharini, kesi za watu kufia kifuani huenda zikaongezeka!
 
yaani kuna ka ukweli lakini zipo taarifa nyingine zimesahaulika....................chanzo cha kuzini ni kuwa tayari mhusika yumo ndani ya pasua kichwa......................haridhiki na khali iliyopo..................huo ndiyo mwanzo wa yote yale..............kwahiyo pamoja na ngono kumwongezea kizungumkuti lakini hakikuanzia pale kwenye tendo lenyewe..............kimetokea mbali sana...................hili likijumlishwa na mazingira yenywe yakutolea hamu...................basi moyo unakuwa umebebshwa zigo kubwa..................."There shall be no peace for the wicked says the LORD".....................Isaiah 48:22
 
Sasa hii ni kinyume cha ukweli, mbona nyumba ndogo ni vitulizo vizuri vya stress?
 
Salam zishawafika,wengine wana nyusaaaaa,siunajua ukweli unauma tenaaa.
 
kuna kaukweli kiasi fulani ila kazi tunayo tabu kwelikweli
 
nooooma sana sasa watu waache kubeba wake za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…