Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Jf hairuhusu kitu zaidi ya MB 24PM tafadhali,
🤣🤣🤣🤣🤣 huu ni ukatili wa kijinsiaUnapata lako la kimoja chali halafu lina hela ukitoka hapo unawahi kwa anayejua kukusonga kama ugali.
Maisha kusaidiana ati
Uko vizuri😆😆😆Mi napenda mwanaume mwenye uwezo wa kuunganisha round mbili bila kupumzika
Mshana atakuwa kakimbia mji, huyo mtoa mada vimbwanga vyake sio mchezo 🤣🤣🤣Wanawake mtatuua kwa msongo wa mawazo. Tukifanya mpaka mchoke, mnalalamika tunawaumiza. Tukifanya kidogo mnalalamika tu wavivu. Tusipofanya kabisa mnalalamika hatuna nguvu 😲😲😲
mshana pitia huku utupe uzoefu (huenda wewe ndio mpare mwenyewe😁😁🙂
Ndio maana hata aliyewaumba mwenyewe alisema tuishi nao kwaakiliMshana atakuwa kakimbia mji, huyo mtoa mada vimbwanga vyake sio mchezo 🤣🤣🤣