Wanaume wanaopiga piano guitars niambieni

SIR KHOKHOLO

Senior Member
Joined
Oct 1, 2016
Posts
120
Reaction score
119
Leo nlikuwa na jamaa yangu yeye ni mtaalam wa piano nikawa najifunza na mimi akaniambia hii fani uwe makini ukijua vzuri wadada watakushobokea balaa. Eti ni kweli?
 
Reactions: MC7
kuna mda siwezi kumlaumu scopion!! kwa people like you scorpion akiwaletea tetemeko lake itakuwa murua kabisaa
 
Another big pumpkin head, with pirton size brained threadπŸ™πŸ™

Tanzania ya viwanda tutaiskia karne ya 3000😑😑
 
Msigwa mwanafunzi wako mwingine amekimbilia huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…