ndo zinawaangaisha nyie au?
hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????
Mimi huwa nasema ukweli mtupu...! Lakini nanyi mkiambiwa ukweli hampatikani, mnapenda kudanganywa....! Aidha, njoo kwangu uone nilivyo mkweli...!hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????
Mimi huwa nasema ukweli mtupu...! Lakini nanyi mkiambiwa ukweli hampatikani, mnapenda kudanganywa....! Aidha, njoo kwangu uone nilivyo mkweli...!
Tamaa za kimwili tu ndo zinaangaisha hakuna lolote lingine
kabla sijachangia dada Mwasu (Nafurahi leo ndo nimejua wewe ni she) Naomba nikuulize:
Wamekutongoza wangapi?
Umewakubalia wangapi?
Wamekumwaga wangapi?
Bado unao wangapi unaotegemea watakumwaga wakati wowote?
Otherwise sielewi umejuaje kama wanaume wako hivyo?
wamenitongoza wengi tu
nimewakubalia wachache
kubwagwa kati ya wote ni mmoja tu aliefanikiwa wengine huwa nawawahi
sina anaetegemea kunimwaga cause wengi wanaokuja sasa ni wanaonekana kabisa ni tamaa ya kimwili inayowaleta na c mapenzi
Hivi DA, wanawake huwa hawana tamaa za kimwili eeeeeeh?
Mie sidhani kama wanawake wanatamaa ya kimwili maana mwanamke huwa na vigezo vyake mfano: Unavaa vizuri, una pesa, una kazi nzuri, nk kwa mwanzo lakini. itafika sasa wakati wa majambozi sawa unakazi nzuri ila 6*6 hakuna kitu hapo umekwisha. Wanawake wanaangalia mwanzo vitu mwisho majambozi je umo?! Au anaweza tu kutest kwa ambaye hata havutii ila kutokana na stress za mume wake anatest hata kwa shamba boy, drive nk anakuta mambo mswano hapo ni ile ya pili ndo inaaply ya kwanza kapuni. Maoni yangu haya si ya mtu mwingine
Pole Mamito....but ndio kukua huko......by the time unasettle hakutakuwa na wa kukudanganya tena .
Kwa kweli hayatabiriki
lakini DA , Kuna akina dada humu waliwahi kuchangia kuwa wanazimika na mwanaume mrefu, mwenye kifua kipana, handsome n.k.!sasa je, wanawake wanapowaona wanaume wenye sifa hizo mabarabarani hawapati tamaa kweli ya kuwa nao karibu kwa mapenzi hivi??
Sijakataa nimekwambia wanawake hutamani mara mbili kwanza nje kama hayo mambo ya HB, Kifua kipana nk si ni mambo ya nje hayo? Then akishamaliza kutamani hapo tunaingia 6*6 hapo suluhisho akiona miyeyusho pamoja na uHB wako unaachwa mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee