wanaume,wanaume,mmmh!!!

Nyie wanawake tatizo mnakuwa selective sana afu mtu akiwa mkweli kuwapata ni kazi ndo maana tunawadanganya kuokoa mahusiano.Bt in other way pray to God to Give u ryt Man ss wanaume were smart liar it hard 2c by ur naked eyes.Its hurt poleni wadada
 
yah ni kweli kabisa ila kiukweli nimeuliza swali hili kwa uhakika kabisa ya kuwa wanaume wengi ndivyo mlivyo ishawatokea rafki zangu kama wanne hivi na mimi pia mara moja so inaonekana nyie ni zaidi ya sisi tunavyodanganya,its ok nimekupata ferds
 
As we drive along this road called life, occasionally a gal will find herself a little lost. And when that happens, I guess she has to let go of the coulda, shoulda, woulda, buckle up and just keep going.
 
dada Mwasu kabla hujapitia haya huwezi kukomaa akili matatizo ndo huwa yanatufanya tujitambue sisi ni kina nani usiogope simama endelea na safari akija mwingine safari hii hatakubabaisha hata kidogo na itakuwa rahisi kusoma alama za nyakati
yah ni kweli kabisa chauro vitu kama hivi ni sehemu ya maisha tu naelewa
 
Utapata lakin wajanja watakusaidia kuchakachua kwa mbali
DA hujawahisikia kuwa Ushindi hutokana na ujuzi wa kutumia silaha na si kuwa na silaha mkononi?? Hali kadhalika katika mapenzi........mwenye kibamia/mbilimbi sijui kama anaoujuzi mambo huwa shega?? Kuna wenye mitambo ya dowans na bado hawajuwi namna ya kuitumia vizuri zaidi ya kuishitch on and off??
 

Mjukuu taratibu, babu bado sijalala.
 
Sijanyanyapaa Kimey kwani wewe una kibamia mbona niliona size ya kati aaahhh. Hujambo lakini?
Sijambo mamito jana nililala fofofo kwa ajili ya ile zawadi uliyonipa.......
 


hapa kumbe wote tunazinguana, asa wewe unajenga hoja ya kuacha wenzio ukiachwa wewe kelele, watu hapa mlisema cjui kibamia hakina inshu ila romance leo mnapindua imekaa vp, halafu DA wewe kama mtu akikuzingua sita kwa sita ukamuacha je mimi nikimuacha kwa gia hiyohiyo nitakuwa muongo?
 

wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, huyu kibamia kimemkoleza kwishneyy, Happy Vibamia day
 
Unakutana na kibamia (kidogo) hakikufikishi mahala pale kaka suluhisho ni kutimukia mbali aahhh Babu taratibu eehhh
Dena mama.....hebu sikiliza mziki wa MJI hapa chini......unavyosisitiza juu ya vibamia....
:bump:
 

figure haitausaidia chochote hapa hadharani hapa tuko kutoa mifano kama unachukulia ndio hali halisi haya
 

Ferds, Mie kibamia hakipandi hata kama utajua kukitumia.....
 


Orait...noted with many thanks....
 


hatukuzingui kaka ukimpata atakae kupenda kwa dhati hatojali una kibamia wala nini mapenzi ni sanaa tu unaweza kuwa mguu wa mtoto ukawa kero lakini ukawa na kibamia ukawa uko safi ishu hapa ni je anakupenda?
 
hahaha MJ1 sikuwezi kwa maneno jamani na kweli kuna watu wana mitambo wala hawajui namna ya kuitumia
 
hatukuzingui kaka ukimpata atakae kupenda kwa dhati hatojali una kibamia wala nini mapenzi ni sanaa tu unaweza kuwa mguu wa mtoto ukawa kero lakini ukawa na kibamia ukawa uko safi ishu hapa ni je anakupenda?

We Maty wewe taratibuuuuuuuuuuuuu watoto hawajalala bado?
 

Buni lovemeter yako, Itumie kumsaka mchumba, vinginevyo utalia kila suku. pole dada mwasu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…