wanaume,wanaume,mmmh!!!

Ferds, Mie kibamia hakipandi hata kama utajua kukitumia.....

ni vyema ukijitanbua hasa wewe unafurahia nini na kwa wakati gani so hutasumbuka kuliko kuishi kimbwa kwa kunusa kila harufu mpaka ubahatishe harufu nzuri, big up mamaa DA
 
ni vyema ukijitanbua hasa wewe unafurahia nini na kwa wakati gani so hutasumbuka kuliko kuishi kimbwa kwa kunusa kila harufu mpaka ubahatishe harufu nzuri, big up mamaa DA

We taratibu mie wangu hana kibamia nina miaka 11 nae na watoto 3 sihitaji kibamia tena. Ferds taratibu......................
 
hahaha MJ1 sikuwezi kwa maneno jamani na kweli kuna watu wana mitambo wala hawajui namna ya kuitumia

Eti Mwasu, huyo wa kwako aliekumwaga, yeye alikuwa ana mtambo au kibamia?
 
yah ni kweli kabisa ila kiukweli nimeuliza swali hili kwa uhakika kabisa ya kuwa wanaume wengi ndivyo mlivyo ishawatokea rafki zangu kama wanne hivi na mimi pia mara moja so inaonekana nyie ni zaidi ya sisi tunavyodanganya,its ok nimekupata ferds

Mwasu huwezi kuwa judge on your own matter, mwanamke hawezi kujua maovu ya mwanamke mwenzie ila ni mwanaume ndiye ajue hayo , vivyo hivyo kwa mwanaume hawezi kumjua mwanaume mwenzie ila ni mwanamke tu. kwa taswira hiyo nachelea kusema ndiyo kwa ulichokiandika kuwa wanaume wamezidi, coz hata historia inaonyesha jinsi mwanamke anvyomburuza mwanaume kwa uongo wake, refer Samson& delila etc, wenda kutokana na historia ndiyo wanaume wakafunguka macho na kujua kuwa uzao wa eva ni waongo na sisi tuwafunge kamba mwanzo mwisho........................... ni mtazamo tu ucnihukumu kwa hilo
 
We Maty wewe taratibuuuuuuuuuuuuu watoto hawajalala bado?

hili la vibamia kuna watu wanaumia ujue mwe taratibu dena, jamani hapa ni nguvu ya keyboard tu mdada akikupenda kwa dhati we acha tu yote tunayolalamika humu hata hatuyaonagi (mwe wadada msinishambulie kwani uongo)
 
We taratibu mie wangu hana kibamia nina miaka 11 nae na watoto 3 sihitaji kibamia tena. Ferds taratibu......................

mbona nimekupongeza kwa kuwa na msimamo kuwa hutaki vibamia , huo muendelezo wa statement yangu ni kwa wale ambao hawajui nini kiwafurahishacho c wewe ulie jitambua already bi mkubwa
 
mbona nimekupongeza kwa kuwa na msimamo kuwa hutaki vibamia , huo muendelezo wa statement yangu ni kwa wale ambao hawajui nini kiwafurahishacho c wewe ulie jitambua already bi mkubwa

Hujanigongea thanks lakini!!!!! Lakini kwani na wewe unakibamia samahani usichukie maana kama imekuuma vile au?
 
hili la vibamia kuna watu wanaumia ujue mwe taratibu dena, jamani hapa ni nguvu ya keyboard tu mdada akikupenda kwa dhati we acha tu yote tunayolalamika humu hata hatuyaonagi (mwe wadada msinishambulie kwani uongo)

Tena naona walioguswa Ferds, Kimey na Babu (Asprin) sijui inawahusu au wanawatetea walionavyo????
 
Hujanigongea thanks lakini!!!!! Lakini kwani na wewe unakibamia samahani usichukie maana kama imekuuma vile au?

mimi nina chini ya kibamia cjui kipenseli cha shiling ishirini ya zamani ile ya noti, umenikumbusha next time nitakugongea thanx ,ya kuomba sio tamu kama ya kupewa bila kuomba auunasemaje DA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…