Wanaume/wanawake wa mkoani vs wanaume /wanawake wa dar

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
50,587
Reaction score
71,492
Nataja majembe ya mikoani yaliyotukuta wengine mtawataja na mtajitaja ,,nani anaefaa kuwa mwenyekiti na katibu wake
Wanaume wa mkoani wanasifika kwa vitu vingi hasa nguvu nyingi za sehemu zote ,kila idara ,hata sasa ukiangalia nchi inaongozwa na watu wa mikoani
Haya sasa kwa humu jf nani anafaa kuwa mwenyekiti kati ya hawa
Wanaume wa mikoani na wanawake pia

1:Behaviourist
2πŸ˜€eo Nalimi Kisandu
3:Kiwatengu
4:Kaizer
5:Quigley
6πŸ˜€aby
7:Mshipa
8:Mbalizi1
9:Mndali ndanyelakakomu
10πŸ˜›atrick80
11:
Wengine tajeni niwaongeze kwenye list



Wanaume wa dar wakiongozwa na baba lao 1:Le mutuzi
2:Gudume
3:Nyani Ngabu
4:Makaveli1
5:Nokia83
6:Vladmir putin
7:RRONDO
8:Billie
9:Ontario
10:Asprin
11:Smart911

Wanawake wa Mkoani
1πŸ˜€inazarde
2:evelyn salt
3:honey faith
4:espy
5:Mbitiyaza
6πŸ˜€emmis
7:Kapeace
8πŸ˜€emi
9:Neybright
10:Sakayo
11:Emmyta
12:Moneytalk
Ongezeni majina nitayaweka pia

Wanawake wa Dar
1:Madam B
2:Shunie
3:miss chagga
4:Money penny
5:Hornet
6:Binti Magufuli
7:Mahondaw
8:Witnessj
9:Ms lincoln
10:Heaven Sent
11:Mzigua90
12Miss Natafuta

Mpendekeze nani anafaa kua mwenyekiti wa mkoani na katibu wake, ili kama kuna uonevu mnataja mwenyekiti kabisa hahaha
Kama nimekosea kukuweka sehemu sipo niambie nikuhamishe nikuwepo mahala sahihi
Haya tuendeeleeeeee
 
Point of Correction: Sio kwamba wanaume wa mikoani wanasifika kwa nguvu bali wanaume wa mikoani wanatumia nguvu badala ya akili!

In short; bado "medulla oblongata" zao zinatumia network ya 2G...
 
Point of Correction: Sio kwamba wanaume wa mikoani wanasifika kwa nguvu bali wanaume wa mikoani wanatumia nguvu badala ya akili!

In short; bado "medulla oblongata" zao zina network ya analojia...
Sasa mbona unalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…