Utapofuka bure na njaa ikuume usiku huu. Njoo uedit utuondolee hiyo namba moja bwana.Nishafika kuna mchuchu ananibana whatsapp huyoo sijui nimblock halaf anatumia kizungu tu ananichosha kichwaa jamani
Ku a sehemu nimekusoma hutaki nikuambie kuwa nakupe daHahahahahahhah jaman napita Kwa Maringo [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sina mshipa wala busha sasa email yangu ndo utacheka kweli ukiionaUnisamehe kwanza jaman huwa nawaza mshipa ulivyo napata picha yake halaf najiuliza au sababu ya kujiita hivi anao ninii mshipa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nishafika kuna mchuchu ananibana whatsapp huyoo sijui nimblock halaf anatumia kizungu tu ananichosha kichwaa jamani
[emoji8] [emoji8]Mume unaidondosha
Atatuma tu auntie hivi hamjaona quotes za penny mapesa kwenye uzi wa bandNdio kasema anatuma hela, naendelea kunywa hadi hela ije. Shauri yake niko ya sita.
Asantee[emoji13] [emoji13] pole
Mbadirishiee adhabuKeshakuwa sugu
Mimi wa daaaa, nimehama.Hata mimi
Nitakupigia kura wewe...wa mkoani full
Alafu nakudai keki mbili.Ku a sehemu nimekusoma hutaki nikuambie kuwa nakupe da
Eeenh ebu nitumie kwa pm nijichekee[emoji23] [emoji23] [emoji23] sina mshipa wala busha sasa email yangu ndo utacheka kweli ukiiona
Sijaziona, kafanyaje?Atatuma tu auntie hivi hamjaona quotes za penny mapesa kwenye uzi wa band
T sijui yupo porini[emoji8] [emoji8]
Mkuu nini tena?Najaribu kuwaza kwa sauti wewe mwanaume unafanya nini kwenye uzi ambao una mandhali kama salon ya kike??
Kwanini mnakuwa ivi?? Huu uzi ulipaswa kukemewa kwa nguvu na umoja wetu ufutwe maana utaleta uharibu mbeleni.
Umekaa hapa mnasukana nywele na wewe unacheka mm nakejeliwa na vi dudu hivi wewe unapita una like?? Unanijua mimi wewe???
Unajitambua kweli wewe?? chukua hatua kijana na ujitambue nafasi yako kuliko kushiriki kwenye rubbish kama hizi ni bora ungejiingiza katika mijadara mizito yenye nia ya kuleta tija.
you are an insult in gentlemens club!! Empty set kabisa
Adhabu ipi sasa atanipaMbadirishiee adhabu
Ahahhaha katuquote tukasome story zakeSijaziona, kafanyaje?
Ujifunze mara ngapi?
Usimtenge mwenzio bhanaNaomba nijitoe kwenye kinyan'ganyiro maana sitakuwa namtendea haki chifu wangu Deo Nalimi Kisandu.
Ya mwaka huu ilikuwa lini? Nilirudi Mtwara kidogo...Alafu nakudai keki mbili.
Uliwaza nini eti mremboKaa kimyaa raia watachagua
Taja wengine wa mikoani nijaze nafasi