wewe katibu
Huenda mkuuNmeuliza tu
Nadhan sisi n machotara.
Bora nisione. ili nisiendelee kutamaniSasa nikijifunika utaonaje
Kidume gangamala bhana unakua lainiii kama dadaako nandy, huku mkoani kwetu wewe unaweza pigwa mitama na kidem tena cha form onePoint of Correction: Sio kwamba wanaume wa mikoani wanasifika kwa nguvu bali wanaume wa mikoani wanatumia nguvu badala ya akili!
In short; bado "medulla oblongata" zao zina network ya analojia...
Hakuna namna tamani tu wanaume mmeumbiwa matesoBora nisione. ili nisiendelee kutamani
Wa kwa mkwereSisi tunaoishi Maili moja Kibaha . Tunaingia kwenye kundi lipi ?
Haha me wa dar bana japo ni daredaWanawake wa dar muongeze geniveros Mzigua90 husna muba na wa mkoani muongeze Heaven Sent nitarudi nikikumbuka
[emoji1] [emoji1] huu ni uchocheziPoint of Correction: Sio kwamba wanaume wa mikoani wanasifika kwa nguvu bali wanaume wa mikoani wanatumia nguvu badala ya akili!
In short; bado "medulla oblongata" zao zina network ya analojia...
Haha usinikumbushe wale walosema wajifanye ni nurse na askari hahaNishamuambia arudishe tucheke zile comment jamanii
Mweee!! Imbombo jilipo.Weeeee me kwetu Draaaar