Wanaume watanashati wa Arusha, mpo JF?

Hivi arusha wapo jf members wa arusha ambao ni mahandsome very handsome ?
Kama mpo comment here if your very handsome only .
ila kama unaweza tokelezea poa ila hii fulsa ni kwachuga tu.
My dear young sister don't ever rely on those grade themselves as very handsome men... They will dissapoint you when it comes to fast n furious
 
Hivi arusha wapo jf members wa arusha ambao ni mahandsome very handsome ?
Kama mpo comment here if your very handsome only .
ila kama unaweza tokelezea poa ila hii fulsa ni kwachuga tu.
NIAJE MAZEE,
HII NINI SASA UNAFANYA WE MLETA MADA? UNATAKA KITU CHA CHUGA AU?
 
nipooo, mie ni HB kiasi hata warembo wakiniona wanasahau majina yao.

wanaanza kung'ata kucha huku wanaangalia chini. hadi huruma aisee.


Ni kwa sababu wanakuonea huruma, usikute wanakuhisi we ni shoga la Dar Arusha umeenda kutafuta soko tu.
 
Uchumba sidhani ila nikiwapata watajua maana yangu .
 
Last edited:
Ni kwa sababu wanakuonea huruma, usikute wanakuhisi we ni shoga la Dar Arusha umeenda kutafuta soko tu.
matusi ya nini mzee? kuwa na hekima , kama umenyimwa uhandsome angalau kuwa na hekima basi. ukijiona mwanamme una tabia ya wivu basi jua kuna kasoro katika uanaume wako. mie nipo mawindoni hapa, badala wewe ufatilie ishu zako unaanza kufatilia wanaume katika ishu zao. kuwa makini usije ukaingizwa jingi, mjini hapa.
 
Hivi Arusha si Ndio kwakina yule Jamaa aloolewa Na Msela wa Kizungu? Well Arusha now days machalii wamekua Soft kinoma yan.
 
nipooo, mie ni HB kiasi hata warembo wakiniona wanasahau majina yao.

wanaanza kung'ata kucha huku wanaangalia chini. hadi huruma aisee.
Yaani ulivyojitambulisha hadi imeshusha thamani yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…