Wanaume wengi hawataki kuoa tena

Wanaume wengi hawataki kuoa tena

Kizoda

Senior Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
130
Reaction score
302
Mbona wanawake wana lalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?

Chukuweni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi ma sigle mitaani

Ila wanawake na Ninyi mmezidi bwana
Zile kauli zenu mnataka wanaume warefu zilishia wapi?
Yaani siku hizi imekuwa shida ukimtongoza mwanamke apo apo hivo unakuwa mume
Na bado

Mpaka Neno la nabii isaya litimie :ISAYA 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
 
Wanna kamsemo kao. Wanakula ujana eti

Alafu Kama umekapita miaka 3 au 4 kanasema ujana ulikula na nani uzee ule na mimi....!!!
 
Ngoja kwanza mfumuko wa bei ushuke. Kwa sasa hali si hali.
 
KWENYE ZAMA HIZI, KUOA MKE NI KUJITAFUTIA MATATIZO YA KUJITAKIA.
 
Mbona wanawake wana lalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?

Chukuweni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi ma sigle mitaani

Ila wanawake na Ninyi mmezidi bwana
Zile kauli zenu mnataka wanaume warefu zilishia wapi?
Yaani siku hizi imekuwa shida ukimtongoza mwanamke apo apo hivo unakuwa mume
Na bado

Mpaka Neno la nabii isaya litimie :ISAYA 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
Isaya 4 ni ya kiroho zaidi. Haizungumzii ndoa zetu hizi zinazojadiliwa katika ukurasa huu.
 
Back
Top Bottom