Wanaume wengi ni wapenzi wa jinsia moja bila kujijua!

'Wapenzi wa jinsia moja' maana yake nini? Kama unakusudia kusema 'ushoga' nadhani sio sahihi. Ushoga ni zaidi ya platonic love....mtu anavutiwa kufanya ngono na mtu wa jinsia yake. Sasa kama kitendo cha kukaa bar pamoja ama kufurahiana mnapo ongea kwenye simu ni ushoga then urafiki ni nini? Ndoa zina 'mambo' mengi sana, hili la kununiana ni mojawapo tu....mkiwa wawili mpo kimya lakini mkiwa mbele ya watu ni vicheko, mabusu etc kama kawa....ubatili mtupu.
 

Hiyo iliku left hand side,embu tupe RIGHT HAND SIDE tujue ukweli
 
Kwa kawaida hakuna Mwanaume ambaye anapenda maudhi nyumbani. Kama nikirudi home my wife akawa mkali bila sababu za msingi na kama attempt zote za kumrekebisha na kujadiliana HAYO matatizo kwa lengo la kuyamaliza likishindikana siwezi kamwe kukaa nyumbani. Ni bora nishinde kwa marafiki kuliko kuwahi kurudi nyumbani kukutana na ugomvi wa kipuuzi.

Kwa sehemu, kuna ukweli kuwa wadada (baadhi) huwa wana hulka ya kuanzisha ugomvi ambao ukiuchunguza kwa undani sana, hauna tija. Kwa hili wadada WENYE TABIA HIZI mjirekebishe!

Na kwa kusema hivi, hakuna uhusiano wa ugomvi moja na ni tafsiri batili sana, kufananisha urafiki wa namna na mapenzi ya jinsia moja. Please rekebisha mada yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…