Mamaa Kigogo
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 105
- 43
kama kweli unampenda huyo mwanamke na kumjali, basi utafanya kila kitu ili nae afurahie na kirudhika kama ww unavyo taka.jamani wewe utakaaje saa nzima ngoma limesimama unahangaikia hisia za mwanamke ??? maana anawea asiwepo hapo ulipo kiakili na matokeo yake ngoma ikapaki wakati hujaingiza
mmmh! ukuni???au mtarimbo ama kibamia!!ni kweli kabisa wengine utakuta hata hajamchezea mwenzie antaka tu kutumbukiza ukuni wake
Maneno yako matamu sana feis.mmmh! ukuni???au mtarimbo ama kibamia!!
Kwa sababu ya hamu na urijali pamoja na ushababi. Pia kwasababu wanawake wanapenda pia hako ka mchezo!
Hebu achen roho mbaya nyie wanaume looo!kwan mnawahi wapi,mbio mbio km jogoo mtu wala hajakaa vizuri keshatia,hebu muwe mnacheza kwa stepu bac, muandae mwenzio mpaka ule utelezi origino utokee mpate raha wote tena ili kuonyesha ufundi hakikisha anaanza yeye kumaliza ndio na wewe umalize,nakuapia hatatafuta backup wala kidumu, atakutunzia utamu wako na unakula peke yako kwa raha zako!
kama kweli unampenda huyo mwanamke na kumjali, basi utafanya kila kitu ili nae afurahie na kirudhika kama ww unavyo taka.
HARAKA-HARAKA ........nyie wote mnaojifanya mko bize sijui mnawahi subirini cha mtemakuni mtapoanza kusaidiwa na marafiki / mashamba boy na nisione kati yenu mtu anakuja kulalamika kuwa mmepoteza mvuto kwa wake zenu!!!
Chumvini kwanza kabla ya kuzamisha mtulinga ni muhimu.
Hebu achen roho mbaya nyie wanaume looo!kwan mnawahi wapi,mbio mbio km jogoo mtu wala hajakaa vizuri keshatia,hebu muwe mnacheza kwa stepu bac, muandae mwenzio mpaka ule utelezi origino utokee mpate raha wote tena ili kuonyesha ufundi hakikisha anaanza yeye kumaliza ndio na wewe umalize,nakuapia hatatafuta backup wala kidumu, atakutunzia utamu wako na unakula peke yako kwa raha zako!
Wawe wanaanza wenyewe kujiamsha hizo hisia kabla ya kukutana na mwanaume. Nafikiri hiyo ni moja ya zile hadhabu walizopewa na Mungu baada ya kula tunda la mti wa katikati na kumpelekea Adam yaani kwa kuwa wao ni chanzo cha dhambi hiyo ila tu hii haijaandikwa kwenye Bible!!!!!!!
....kuchezeana ni vizuri ila sasa sio ndo iwe kwa mda mrefuuuu mpk inakuwa kero,suala la mate ni kuwasaidia msichubuke endapo hormones zenu/vilainishi zinakuwa zipo mbalii kwa siku hyoTrue mkuu bronty
Mbavu zangueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....Naenda kwa dokta kwanza.sasa mtu kishakubali unangoja nini ka sio kuangusha mvule tu...nani anataka mambo ya egoli watu tuko busy na mambo ya igunga