Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
hehehe apo umenena madam gret sinker.....
Binafsi cku izi adi ananisifia kwa kumuandaa.....kumbe kila nikianza kumuandaa natafakri ile(man utd 8 - arsenal 2)......wat ze f@*k went wrong
kile kipigo kinanipunguziaga concentration.....ila baada ya hapo...analo mbna
True mkuu bronty
Kumbe wanaume tunakuwaga na haraka eh?sio kwenye mapenzi tu lakini.kwenye kilaaaaaa kitu.
Anayekupenda na unampenda hawezi kutoa sababu coz ni kwako pekee anakopata hizo raha so ni lzm atatoa ushirikiano, pia na wewe unatakiwa kumsoma mtu wako na kujua wapi ukimshika au kumlamba atakua on position bana, labda hizo kazi zenu za nje ambazo ziko kibiashara zaidi watakusifia hata km hakuenjoy chochote ili umpe chake asepe!sio mbio kama jogoo...
huwa hamtoi ushirikiano, mkiguswa maeneo mnakataa..
mnatoa 7bu kibao, mara nitazimia mara nitapigia wa2 kelele
ni vizuri mkatoa ushirikiano mfikishwe mpatakapo...
ZAIDI ya nusu ya wanawake walioulizwa wameonyesha kutoridhishwa na tabia ya wapenzi wao kupuuzia umuhimu wa kuchezeana kimwili kabla ya kufanya-sex. Hii ni kwa mujibu wa dondoo za utafiti uliofanywa katika Chuo Kikuu cha Gothenburg cha nchini Sweden
Inaelezwa, kuwa hata kama mwanamme na mwanamke wataanza pamoja harakati za kuamsha hisia za kufanya tendo la ngono lakini bado kiujumla mwanamme ndiye atakuwa wa kwanza kutaka kuingia hatua ya kufanya ngono.
asalaleee...... usinitanie u r most vanted, plz naomba uni pmKweli hili ni janga la taifa wa igunga wenyewe wana enjoi mpaka wanafumaniwa, wewe uko mbaliii unajifanya ndio uko bize zaidi, ndio nyie kazi kupaka watu mimate ili mpenye kiurahisi wakati tumepewa kitu original just a single touch