Wanaume wengi wanapotaka Kuoa Single Mamaz wanazingatia mambo haya

Wanaume wengi wanapotaka Kuoa Single Mamaz wanazingatia mambo haya

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
1,518
Reaction score
2,174
WANAUME WENGI WANAPOTAKA KUOA SINGLE MAMAZ WANAZINGATIA MAMBO ANUAI...

1. Single mama ambaye mtoto wake amefikisha umri walau Miaka mitano, wanasema huyu tayari mziz⁸i wa upendo na mzazi mwenzake umeanza kulegea ukielekea kukatika kabisa...

2. Single mama ambaye hakupewa mimba na mume wa mtu... hapa ni akili kumkichwa tu ndiyo hutumika

3. Wanajitajidi sana kumjua mzazi mwenzio na kujifananisha/linganisha naye Ili kuangalia ni vitu gani amemzidi kwani wanawake hurudi walipotokea wakikosa vitu adhimu kwao kwenye mahusiano mapya... Ukiacha uchumi na pumzi ndefu vingine huwa vya kijinga tu kama rangi, kimo, mwili, tabia za ucheshi, Utani nk.

4. Mawasiliano ya single mama na mzazi mwenzie ni mwiko kwao na hayaruhusiwi... wanasema kama mnataka kujadiliana habari za mtoto kwanini msingeishi pamoja Ili mlee mtoto wenu vizuri? Kwa hiyo akikupenda atapambana kuvunja mawasiliano yenu na ikishindikana atawaache muendelee na maisha yenu, wanadai haiwezekani gari Moja lilazimishe kupita Barbara ya mwendo Kasi wakati faini yake ni kubwa inauma.

5. Ikitokea amefanikiwa kukuoa single mama... Kwa kuwa ubao utakuwa inasoma 0-1 (Moja bila) basi ajitahidi kukuzalisha fasta fasta Ili kukuvuruga akili kwasababu wanaamini kisaikolojia mwanamke huwakumbuka zaidi wanaume wawili tu hapa duniani...
  • Aliyemtoa usichana
  • Wa kwanza kumpa ujauzito
Wanafanya rejea Kwa wazee wa zamani kwani idadi kubwa ya kinamama walioolewa wakiwa na mtoto kilichofuata ni kuzalishwa Kwa haraka mno dabodabo watoto watatu hivi Ili kukata ule mzizi wa kula tunda kimasihara

Lakini wanasisitiza kuwa Hayo yote juu hayawahusu masingle mama ambao walipata ujauzito Kwa kubakwa...

Anko Tee
Mimi tu kuwauzia Siri ya kambi japo hatujakubaliana wote maana bado sababu za Kuwa Single Mama zinatuvuruga kidogo.... Mkizitaka tunazohisi nitaziweka 😂😂😂
 

IMG-20250201-WA0001.jpg
 
Mambo ya mapenzi hayaeleweki. Anaweza single mother ukawa na amani kama paradise, anaweza single mother ikawa kama upo motoni.. na unaweza oa ambae hajawai ukawa mtiti haya mambo ni ya tafrani sana
 
WANAUME WENGI WANAPOTAKA KUOA SINGLE MAMAZ WANAZINGATIA MAMBO ANUAI...

1. Single mama ambaye mtoto wake amefikisha umri walau Miaka mitano, wanasema huyu tayari mziz⁸i wa upendo na mzazi mwenzake umeanza kulegea ukielekea kukatika kabisa...

2. Single mama ambaye hakupewa mimba na mume wa mtu... hapa ni akili kumkichwa tu ndiyo hutumika

3. Wanajitajidi sana kumjua mzazi mwenzio na kujifananisha/linganisha naye Ili kuangalia ni vitu gani amemzidi kwani wanawake hurudi walipotokea wakikosa vitu adhimu kwao kwenye mahusiano mapya... Ukiacha uchumi na pumzi ndefu vingine huwa vya kijinga tu kama rangi, kimo, mwili, tabia za ucheshi, Utani nk.

4. Mawasiliano ya single mama na mzazi mwenzie ni mwiko kwao na hayaruhusiwi... wanasema kama mnataka kujadiliana habari za mtoto kwanini msingeishi pamoja Ili mlee mtoto wenu vizuri? Kwa hiyo akikupenda atapambana kuvunja mawasiliano yenu na ikishindikana atawaache muendelee na maisha yenu, wanadai haiwezekani gari Moja lilazimishe kupita Barbara ya mwendo Kasi wakati faini yake ni kubwa inauma.

5. Ikitokea amefanikiwa kukuoa single mama... Kwa kuwa ubao utakuwa inasoma 0-1 (Moja bila) basi ajitahidi kukuzalisha fasta fasta Ili kukuvuruga akili kwasababu wanaamini kisaikolojia mwanamke huwakumbuka zaidi wanaume wawili tu hapa duniani...
  • Aliyemtoa usichana
  • Wa kwanza kumpa ujauzito
Wanafanya rejea Kwa wazee wa zamani kwani idadi kubwa ya kinamama walioolewa wakiwa na mtoto kilichofuata ni kuzalishwa Kwa haraka mno dabodabo watoto watatu hivi Ili kukata ule mzizi wa kula tunda kimasihara

Lakini wanasisitiza kuwa Hayo yote juu hayawahusu masingle mama ambao walipata ujauzito Kwa kubakwa...

Anko Tee
Mimi tu kuwauzia Siri ya kambi japo hatujakubaliana wote maana bado sababu za Kuwa Single Mama zinatuvuruga kidogo.... Mkizitaka tunazohisi nitaziweka 😂😂😂
Hizo sababu za kufikirika tuu,siyo uhalisia.
Tuliozaa na wanawake halafu wakaenda kuolewa na wànaume wa ndoto zao baadà ya miaka kadhaa mawasiliano tumerudisha na ukitokea uwanja wa kukutdna hàta kama kaolewa nà tajiri ànakupa tuu.
Ila wanakuwa wagumu baada ya kuolewa, na wakianza kugombana kwenye ndoa, wanalainika kwa wazazi wenza.
 
Mimi binafsi mpaka hivi sasa najiuliza na bado sijapata jibu, hivi hawa single mother K zao hua wanazipaka asali? Maana sio kwa utamu huo, halafu uzuri wao ukiomba mechi hawana kuzungushana, yaani hata ukitaka kwa wiki mara 5 unapewa kiroho safi kabisa, halafu hua wanajituma kwelikweli kunako bedi tena wala hawakupangii kwa kuweka ni wewe tu na ubaradhuli wako.
Single mothers wote mitano tena, hakika mnajua kuupiga mwingi.
 
WANAUME WENGI WANAPOTAKA KUOA SINGLE MAMAZ WANAZINGATIA MAMBO ANUAI...

1. Single mama ambaye mtoto wake amefikisha umri walau Miaka mitano, wanasema huyu tayari mziz⁸i wa upendo na mzazi mwenzake umeanza kulegea ukielekea kukatika kabisa...

2. Single mama ambaye hakupewa mimba na mume wa mtu... hapa ni akili kumkichwa tu ndiyo hutumika

3. Wanajitajidi sana kumjua mzazi mwenzio na kujifananisha/linganisha naye Ili kuangalia ni vitu gani amemzidi kwani wanawake hurudi walipotokea wakikosa vitu adhimu kwao kwenye mahusiano mapya... Ukiacha uchumi na pumzi ndefu vingine huwa vya kijinga tu kama rangi, kimo, mwili, tabia za ucheshi, Utani nk.

4. Mawasiliano ya single mama na mzazi mwenzie ni mwiko kwao na hayaruhusiwi... wanasema kama mnataka kujadiliana habari za mtoto kwanini msingeishi pamoja Ili mlee mtoto wenu vizuri? Kwa hiyo akikupenda atapambana kuvunja mawasiliano yenu na ikishindikana atawaache muendelee na maisha yenu, wanadai haiwezekani gari Moja lilazimishe kupita Barbara ya mwendo Kasi wakati faini yake ni kubwa inauma.

5. Ikitokea amefanikiwa kukuoa single mama... Kwa kuwa ubao utakuwa inasoma 0-1 (Moja bila) basi ajitahidi kukuzalisha fasta fasta Ili kukuvuruga akili kwasababu wanaamini kisaikolojia mwanamke huwakumbuka zaidi wanaume wawili tu hapa duniani...
  • Aliyemtoa usichana
  • Wa kwanza kumpa ujauzito
Wanafanya rejea Kwa wazee wa zamani kwani idadi kubwa ya kinamama walioolewa wakiwa na mtoto kilichofuata ni kuzalishwa Kwa haraka mno dabodabo watoto watatu hivi Ili kukata ule mzizi wa kula tunda kimasihara

Lakini wanasisitiza kuwa Hayo yote juu hayawahusu masingle mama ambao walipata ujauzito Kwa kubakwa...

Anko Tee
Mimi tu kuwauzia Siri ya kambi japo hatujakubaliana wote maana bado sababu za Kuwa Single Mama zinatuvuruga kidogo.... Mkizitaka tunazohisi nitaziweka 😂😂😂
Miongozo ya ma single mother imekuwa mingi sana, hata uone malaika sijui bikra jua ya kwamba hiyo nyapu/mbususu/nyabe sio mali yako unaweza kumiliki mwili wake wotw lakini sio nyabe ya mwanamke, ukilijua hili hutoteseka, tuendelee kula mbususu bila wivu zamu yako ikifika.
 
Mambo ya mapenzi hayaeleweki. Anaweza single mother ukawa na amani kama paradise, anaweza single mother ikawa kama upo motoni.. na unaweza oa ambae hajawai ukawa mtiti haya mambo ni ya tafrani sana
Utamu wa mapenzi kwa single mother Ni swala la muda tu asilimia 99ya single mother hawaridhiki kuanzia kitandani mpaka kwenye maisha!
 
Back
Top Bottom