Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

Ila nimegundua kuwa ukikutana na mmama wa maneno maneno ka huyu, mara nyingi ni msiba tu kitandani. Mbwembwe zote bure tu. Ndo maana sipotezagi mda wangu
 
Ila nimegundua kuwa ukikutana na mmama wa maneno maneno ka huyu, mara nyingi ni msiba tu kitandani. Mbwembwe zote bure tu. Ndo maana sipotezagi mda wangu
Sa binafsi nikupeleke wap miyee kwasababu zaid ya kuchomeka na kuchomiaa huna unalolijuaaa kitandani so byeeee
 
Hahah wanaume wamejaa vihiweni kibao hawana kazi au hujui hapa.mjini tunaotambaa ni wanawake wanaume hawana kitu tenaa
Kwa usawa huu mtalalama sana maana ata muda wa kula hatuna iweje ulazimushe kufikishwa Mombasa!
Fanya kazi acha kuwaza ngono.
 
Asante kwa kutupa credit, we deserve [emoji39]
 
Hapana hujawahi kutana na kijana wa 30 then ukali..... Then ukakaa kama week hivi hatoki kichwani
 
Sa binafsi nikupeleke wap miyee kwasababu zaid ya kuchomeka na kuchomiaa huna unalolijuaaa kitandani so byeeee

Nishakuambia we ni maneno tu hujui hata aa bee chee. Maneno meengi ka chiriku kumbe kunako 6x6 ni zero bashite. Mtu anarudi akijiuliza gharama aliyotumia kukutafuta. Hunipati ng'oooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…