X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Naitwa Juma RashidiWalio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
Walio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
Kwanini waone aibu? Kwani ni lazima ukiwa 25 uwe na kiwanja? Kanuni ya wapi?Walio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
sehemu gani mkuu hapo morogoroHuyu jamaa mwehu ee? Viwanja morogoro unapewa hadi bure tu kama ukimsalimia mwenyekiti wa kijiji kwa heshima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ajabu umenunua shamba Ruvu na wewe unajihesabia una kiwanja.
kaka umesha mjibu uyo mbwigaNaitwa Juma Rashidi
Kuzaliwa 1992
Shule ya Msingi 2000-2006
Secondary (o &a level)2007-2013
Chuo (shahada ya sheria) 2013-2017
School of Law 2017
Na mpaka sasa Nina miaka 25 wewe ulitaka kijana wa aina gani awe na kiwanja
Je hiko kiwanja ni KURITHI AU KUNUNUWA MWENYEWE
Kiwanja kiwe Wapi
NB ; MDA NA MFUMO WA ELIMU YA TZ UNAKUPA WEWE NAFASI KIJANA KUWA HURU ZAID AKIFIKISHA MIAKA 27 , VIJANA WENGI HAWATEMBEI KWA MIGUU YAO WENYEWE
UNAPO FANIKIWA USIZANI MWENZAKO HAJUI NN MAANA YA MAFANIKIO
Ukiamka ukumbuke kutandika kitandaMimi sina ila nina shares zinathamani ya Tshs 196m
Umesema, na yaonekana umegusa wengi, wajitambuwe, waelewe kutokuwa na boma ni kama kuazima suti ya ya rafiki! Siku akiitaka suti yake watakimbilia wapi?!Walio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
Sehemu gani huko niende nikamsalimie nipeweHuyu jamaa mwehu ee? Viwanja morogoro unapewa hadi bure tu kama ukimsalimia mwenyekiti wa kijiji kwa heshima.
Ruvu Sehemu gani hiyo nikaikimbilie Mkuu!![emoji1] [emoji1] [emoji1] heka elfu ishirini [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Waziri kusema kodi ya chumba sasa itakuwa inalipwa kwa kila mwezi badala ya miezi sita au mitatu.