First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
kuna haka karesearch nimekaona mahali
eti
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje
wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa
wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao
je kuna kaukweli jamani?
<br /><font size="4">kuna haka karesearch nimekaona mahali<br />
<br />
eti<br />
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje<br />
<br />
wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa <br />
<br />
wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao <br />
<br />
je kuna kaukweli jamani?</font>
kuna haka karesearch nimekaona mahali
eti
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje
wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa
wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao
je kuna kaukweli jamani?
Wewe ulitoka lini mara ya mwisho?
hizi research za magumashi kazi ipo.
kama walioolewa 99 percent wanataka kutoka nje mi sioi.
kuna haka karesearch nimekaona mahali
eti
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje
Pamoja na takwimu hizi kuwa za juu sana lakini hili lina ukweli ila sidhani kama ni kwa asilimia 80 .
wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa
hili linaweza kuwa na ukweli kidogo
wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao
hili si la kweli hata kidogo.... wanawake wachache sana hutamani kutoka kwenye ndoa zao licha ya matatizo ambayo baadhi ya ndoa huyapitia... tena wanawake wengi huwa wavumilivu kwenye kujaribu kubaki kwenye ndoa ukiona katoka ujue maji yalifika kwenye kope za macho!
je kuna kaukweli jamani?
Siwezi kukupinga maana huwezi kuwa mzinzi kama hujafunga ndoa, teh teh teh .... sana sana utakuwa muasherati tu!
Kabla hatujakuambia ukweli hebu tufanye ka research kupitia kwako:
We umeolewa? Kama ndio
Unatamani kutoka kwenye ndoa yako?
Ushakutana na waume za watu wangapi?
We Hujaolewa? Kama ndio
Ushakutana na waume za watu wangapi?
Unatamani kuolewa?